Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Please nisaidie huyu wa kuzuia na kukamata wezi maana Kila kitu kwangu nimesimamisha Kwa Sababu ya wezi
 
Dunia Ni uwanja wa mapambano.
Maisha hayamsubiri Mtu, maisha Ni kuwaza nje ya box, Bila kusahau ukitaka kunukia Uwarudi kuwa nao Karibu. Heshima kwa huyu mwamba wa Tanga. Nina biashara flan zlikuwa zinapita hata sku 2 sijauza na dukan kuna Kila kitu ila upande wa pili the same business anauza mbaya.
Baada ya kung'atwa sikio kuwa kuna sehem mamb kuna fundi skuchelewa na matokeo nayaona. Kulala na 2M kwa jambo la kawaida, wakat mwazo wiki unalaza laki moj asee.
 

Attachments

  • 255742925176_status_6de1a5fa26e847b994235d9c445d7dfb.jpg
    18.7 KB · Views: 62
Dondoka Sumbawanga pale panda gari kuelekea Namanyele. Hapo unapewa Msharti ya kuchakata mbususu kadri uwezavyo. Sasa hakuna dem ambaye atakukataa maana kauli yako inakua amri kwake. Sasa. Muhim zaidi lazima uchukue Ute wa ndani ya uke Kisha ukaweke kwenye chupa. Fanya hivyo kwa Kila mwanamke. Sasa huyo mwanamke
 
Siyo PROMO ila wakuu Tambueni kuna waganga wanajua nyie!.
Kuna mwamba yuko TANGA alooh!
Ila yeye kabobea kwenye upande wa biashara sana sana. Mwamba anaijua kazi yake. Just imagine una Business ya mtaji wa 30M lakin wahuni wanakuchezea siku mbili inaisha unapiga mwayo tu. Ila baada ya kusafisha mamb unauza 2M within a day.
 
Si utupe connection
 
Mkuu vp huyo wa Biharamulo naweza para namba zake
 
S
huyo mtu mwenyewe hiyo pesa ya kukulipa anayo? Halafu fanya vyote usiue mtu, maana hakuna utachopata kwa kumuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…