Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Hiyo ndiyo imani ya kweli ya mwafrika kabla ya kuja wazungu na waarabu hapa Afrika.
Baada ya kuja wamekujaza imani zao (uislamu na ukristo ) wakati wao walikuwa wanafanya biashara ya watumwa, wameua sana ndugu zetu, wamepora mali zetu na kutugawa.
 
Logically hao wote watakua waongo. Sababu kama umekutana na "A" na akawa mzuri basi usingekua na haja ya kwenda Kwa B, C, D au E.

Au kama A alikua muongo ukaja kukutana na B mkweli basi ungeishia hapo hapo kwe B ukawa unamtumia tu huyo huyo
 
Hiyo ndiyo imani ya kweli ya mwafrika kabla ya kuja wazungu na waarabu hapa Afrika.
Baada ya kuja wamekujaza imani zao (uislamu na ukristo ) wakati wao walikuwa wanafanya biashara ya watumwa, wameua sana ndugu zetu, wamepora mali zetu na kutugawa.
Ok
 
Umaskini mwingine ni wakujitakia tu, yaani unaamini kwa kupewa connection ya mganga fulani utatoboa maisha?

Mbona mganga mwenye ni choka mbaya tu kila idara ya maisha yake!!?
Hiyo ndiyo imani ya kweli ya mwafrika kabla ya kuja wazungu na waarabu hapa Afrika.
Baada ya kuja wamekujaza imani zao (uislamu na ukristo ) wakati wao walikuwa wanafanya biashara ya watumwa, wameua sana ndugu zetu, wamepora mali zetu na kutugawa.
 
Logically hao wote watakua waongo. Sababu kama umekutana na "A" na akawa mzuri basi usingekua na haja ya kwenda Kwa B, C, D au E.

Au kama A alikua muongo ukaja kukutana na B mkweli basi ungeishia hapo hapo kwe B ukawa unamtumia tu huyo huyo
mtu anahama kikazi kila baada ya mda flani atamtumiaje fundi mmoja tu mkuu?
 
Ukionaaa likes nyingiii mfwate huyoooo ujue wemye likes wamepishanaaa hukooooooo

Siriyakooo
 
We muanzisha uzi lzm utakuwa ni mganga tu unatafuta promo humu
Waganga wote wa kienyeji ni bahati nasibu na ni hatari kabisa kwa afya yako.
Corona imemaliza watu waliokuwa wapi?
Maradhi yote yanayojulikana hakuna mganga aliyefahamika kuyatibu KITAIFA zaidi ya shuhuda za mitaani tu.

Nendeni Hospital acheni ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…