Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Kuna mdada alienda kwa mganga kutafuta mwanaume. Yule mganga akamwanbia dada inawezekana nyota yako imefichwa hivyo haionekani. Akampa madawa akajipaka pale kwa mganga.

Kisha mganga akampanga mchizi wake mmoja kwenye eneo fulani umbali fulani toka ofisini kwake. Akamuelezea jinsi dada alivyo na shida yake, so mchizi ajipange akale kazi.

Demu kutoka kwa mganga dakika kadhaa anakutana na mchizi, mchizi akaomba wakae sehemu waongee kidogo huku wakipata soda, dada akajua dawa za mganga zinafanya kazi. Jamaa akawa anakula ile kazi kilaiiini kwa gia ya kumuoa. Kumbe hamna lolote.
 
Ais
Aisee kweli nimeamini unaongozwa njia mbili tu
 
Nipo Tandika huku uswahilini na nafundisha Temeke secondary na huku uchawi wanaotumia u unaitwa large scale ukifanya nao ngono Basi Fahamu Mafanikio utabaki kuyasikia ncho jirani
Lakini uchawi wa Kupata hela hawana binafsi naona uchawi ni illusion naamini hata ao mademu ukiwagonga wanakupa Gundu na sio uchawi .
 

Ila kuna wakat unaweza kupata majanga mpaka unahis kichwa kinawaka moto walah!
Mi safari hii nimeamua nisiende tena kwa waganga nione maisha yanavyoenda
 
Mkuu inaonekana una matatizo mengi sana, waganga wote hao aisee..
 
Upo maeneo gan boss naomba namba ya mmoja wao pisi Kali Nina laki na ww Nina 20,000 Yako njoo dm please nataka k...... Mbano
 
Hiyo nayo ni hoja fikirishi. Dada yangu huwa ananisisitiza kumtanguliza Mungu mbele ilhali yeye ni mfuasi wa dawa za kienyeji za waganga za mivuto ya biashara. Mmmh inaonekana wengi wanatupoteza maboya sana wengine.
 
Daaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…