NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Sio kila kitu kinakaa google, ninavyotumia ni vingi mno.fundi hutambulika kwa ujenzi wake..NENDA PALE BAWATA UTANIPATA.Unatumia jina gani niucheki utaalamu wako huko Google?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila kitu kinakaa google, ninavyotumia ni vingi mno.fundi hutambulika kwa ujenzi wake..NENDA PALE BAWATA UTANIPATA.Unatumia jina gani niucheki utaalamu wako huko Google?
Santos kama SantosKuna mmoja alinifanya nifanye mtihani bila ada. Huyu ni kiboko nimetoboa chuo Kwa mbinde sana.
Nilipomaliza Hilo basi sijajihusisha Tena na ishu za shirki[emoji3][emoji3]
Mungu anisamehe tu ni shida zilinielemea
Ila kama unahitaji mawasiliano nicheki pm
Umenikumbusha ndugu wa mke wangu walivyokuwa washirikina, yaani tangu nilivyooa ni vurugu za kijinga huku mke wangu akitaka kuondoka kwasababu za kijinga tu, nilipowajua na kupiga biti familia inaenda poaKuna jamaa alikuwa na mke wake ,sasa baadae akaongeza mke wa pili
Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza
Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha
Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka
Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo
Uchawi upo ndugu zangu
Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu
hatuwezi kukupa ukweli wote ila tuliopata waganga hatari hatuwezi kukupa namba bila kukujua vizuri kabisa , haya sio mambo ya mtandaoni , tafuta mtaani tu kuna mshkaji atakuja kukupa laini
Elezea zaidiUmenikumbusha ndugu wa mke wangu walivyokuwa washirikina, yaani tangu nilivyooa ni vurugu za kijinga huku mke wangu akitaka kuondoka kwasababu za kijinga tu, nilipowajua na kupiga biti familia inaenda poa
Nimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tuElezea zaidi
Hata pombe Ni solution in chemistry.Mimi hapa,njooni PM niwatibu. Lolote mnalitaka kwenye maisha yenu mtapata,shida zenu zitapata solutions.
Vipi ela Yako ulitoa akapeleka Kwa mganga au sijaelewa na ilifanyaje kazi bila kukurudishia mkononiNimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tu
Mimi aliniuzi juzi kati mmoja Tanga et ananiambia anawajua alafu ananiambia kutokana na field yake hawezi kuwatajaKwa ambaye hajawahi fika utawadanganya sana sana kuhusu kuwaona wabaya wako
Waganga wana kawaida ya kutotaja wahusika wa kitu.
Emb elezea hiyo chuma ulete ela ulimpa nani?Nimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tu
Huwa hawawezi kutaja ni fulani ndiye kafanya. Ukilazimisha anakuchonganishaMimi aliniuzi juzi kati mmoja Tanga et ananiambia anawajua alafu ananiambia kutokana na field yake hawezi kuwataja
Walinitegea kwangu, yaani unapoteza pesa mpaka 140,000 ishawahi potelea kwenye koti tuEmb elezea hiyo chuma ulete ela ulimpa nani?
Anakuchonganishaje?Huwa hawawezi kutaja ni fulani ndiye kafanya. Ukilazimisha anakuchonganisha
Mimi Huwa naandikaga pesa zangu Toka nizaliwe sijawahi poteza hata 50 yangu ila Kuna ya mtu 8000 elfu 5 ilipoteaga sijui ilianguka auWalinitegea kwangu, yaani unapoteza pesa mpaka 140,000 ishawahi potelea kwenye koti tu