Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Sema waafrica tumeoshwa bongo zetu na wazungu zikaosheka tunatumia vibaya sana dhana ya neno Mungu, wazungu wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kutuaminisha kuwa vitu vyetu vyote ni vibaya, wazungu wamekuja Africa haifiki hata miaka 500 wakati waafrica tulikuwepo kwenye bara hili zaidi ya miaka milioni 4 iliyopita history inathibitisha hilo. Kwahiyo mnataka kusema waafrica walikuwa hawamjui Mungu wala hawaabudu? Jiulize kwanin unaitwa James wakati wewe sio mzungu na unaitwa omary wakati wewe sio mwarabu, kwenye imani zetu watu weusi walikuwepo watu waliopewa nguvu na mungu ya kuisadia jamii yao kwenye matatizo flani(kisasa mnawaita the choosen) pia katika jamii walikuwepo watu waliopewa nguvu wakazitumia vibaya so inategemea unaenda kwa mganga yupi kati hao.
 
Kuna jamaa alikuwa na mke wake ,sasa baadae akaongeza mke wa pili

Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza

Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha

Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka


Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo


Uchawi upo ndugu zangu

Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu
Umenikumbusha ndugu wa mke wangu walivyokuwa washirikina, yaani tangu nilivyooa ni vurugu za kijinga huku mke wangu akitaka kuondoka kwasababu za kijinga tu, nilipowajua na kupiga biti familia inaenda poa
 
Elezea zaidi
Nimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tu
 
Nimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tu
Vipi ela Yako ulitoa akapeleka Kwa mganga au sijaelewa na ilifanyaje kazi bila kukurudishia mkononi
 
Nimeoa maeneo yaliyo karibu na ndugu wa mke wangu, sasa watu wa huku wanahusda sana, kutokujua na utoto sijui, walikuwa wanakuja nyumbani na kama wanashida nawasaidia, kumbe kinawauma kweli, wakaanza kuniharibia ndoa yangu kila siku kununiana, chokochoko zisizoisha mpaka mke anataka kuondoka wakati mahitaji yote muhimu natoa, ikabidi nikae na staff mwenyeji wa huku ndio akaniambia hauwajui watu hili eneo na usipokuwa makini wataharibu ndoa, ndio nikaanza harakati za kupata tiba mbadala na jamaa akanieleza matukio yote mfano pesa nilitoa kumsaidia mgonjwa ila kumbe nikatengenezewa chuma ulete home, aisee alivyonifungua kwanza walishakata miguu nyumbani pia hata mazoea nikakata, mpaka leo nadunda tu
Emb elezea hiyo chuma ulete ela ulimpa nani?
 
Back
Top Bottom