Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Kulikuwa na jamaa wa Tanga (Mandondo,RIP)akikuchanjia dawa risasi haipiti inaonekana kama tu kakipande ka mchanga kamekukwaruza.
Daaah uyo mzee alikufa bhana nilipata bahat ya kutubiwa nae baada ya miaka kadhaa kwenda ku renew dawa nikaambiwa mzee alisha kufa, ikabid nitibiwe na mtoto wake japo dawa hazikuwa nzur kama mwanzon
 
babu yangu mzee MHANDO ni mganga, mambo aliyo wahi kuyafanya nikishuhudia ni mengi

1. Mke wake wa mwisho alikuwa mtoto wa Mchungaji wa kanisa kubwa tu KKKT utastaajabu ya Musa mtoto wa mchungaji kuolewa na Mganga wa kienyeji.

huyu bibi alikuwa kichaa ila mrembo haswa walimuombea hadi ulaya walimpeleka lakini walishindwa kumtibu. babu yangu anao uwezo wa kutibu vichaa.

yule bibi alipelekwa kwa Babu akiwa amefungwa kamba za mikono na miguu lakini sekunde chache baada ya kupewa dawa za hapa na pale alipona kabisa. ndugu zake walifurahi sana ndugu yao kupona ila kikaja kizungu mkuti watamlipa nini mganga...?

mganga alipo ulizwa "tukulipe nini kwa kazi uliyo ifanya

mganga akasema ili ugonjwa wake usimrudie inabidi nimuoe

kiukweli si mlaumu Babu yangu kabisa imagine unaletewa mgonjwa kama picha hapo chini unge fanyaje...?
images (1).jpeg


2. mjomba angu aliua kutokana wivu wa mapenzi kesi yake ilikuwa hot sana kwa wakazi wa buguruni watakuwa wanaikumbuka hii miaka ya 2004 hivi kuna jamaa alimchoma mwanamke visu tumboni utumbo ukamwagika...😭😭😭

hii kesi ilikuwa ngumu na muuaji alihukumiwa kunyongwa hadi KIFO. kibuyu cha Babu kilifanya kazi hivi sasa mtu huyo yupo Uraiani...!

3. alikuwa na uwezo wa kumsahaulisha hakimu kiasi mwenye haki akafungwa na mshitakiwa akaachiwa huru nyie uganga upo...!

kesi zipo nyingi alizo fanya ila kwa bahati mbaya Babu yangu hivi sasa ni Marehemu amelala kwenye nyumba yake ya milele😭😭😭 mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏




 
babu yangu mzee MHANDO ni mganga, mambo aliyo wahi kuyafanya nikishuhudia ni mengi

1. Mke wake wa mwisho alikuwa mtoto wa Mchungaji wa kanisa kubwa tu KKKT utastaajabu ya Musa mtoto wa mchungaji kuolewa na Mganga wa kienyeji.

huyu bibi alikuwa kichaa ila mrembo haswa walimuombea hadi ulaya walimpeleka lakini walishindwa kumtibu. babu yangu anao uwezo wa kutibu vichaa.

yule bibi alipelekwa kwa Babu akiwa amefungwa kamba za mikono na miguu lakini sekunde chache baada ya kupewa dawa za hapa na pale alipona kabisa. ndugu zake walifurahi sana ndugu yao kupona ila kikaja kizungu mkuti watamlipa nini mganga...?

mganga alipo ulizwa "tukulipe nini kwa kazi uliyo ifanya

mganga akasema ili ugonjwa wake usimrudie inabidi nimuoe

kiukweli si mlaumu Babu yangu kabisa imagine unaletewa mgonjwa kama picha hapo chini unge fanyaje...? View attachment 2837244

2. mjomba angu aliua kutokana wivu wa mapenzi kesi yake ilikuwa hot sana kwa wakazi wa buguruni watakuwa wanaikumbuka hii miaka ya 2004 hivi kuna jamaa alimchoma mwanamke visu tumboni utumbo ukamwagika...[emoji24][emoji24][emoji24]

hii kesi ilikuwa ngumu na muuaji alihukumiwa kunyongwa hadi KIFO. kibuyu cha Babu kilifanya kazi hivi sasa mtu huyo yupo Uraiani...!

3. alikuwa na uwezo wa kumsahaulisha hakimu kiasi mwenye haki akafungwa na mshitakiwa akaachiwa huru nyie uganga upo...!

kesi zipo nyingi alizo fanya ila kwa bahati mbaya Babu yangu hivi sasa ni Marehemu amelala kwenye nyumba yake ya milele[emoji24][emoji24][emoji24] mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi [emoji120]




[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haukurithi ndugu yangu ujee unisaidieee kunipa dawa ya biasharaaa.
 
Back
Top Bottom