Uzi wa kusema ukweli

Uzi wa kusema ukweli

Mwenye kutoa ukweli kuhusu proton pump [emoji618][emoji618] anifuate PM nimtumie vocha
 
Ulevi na umalaya unarudisha maendeleo kwa asilimia 99.9 na hiyo 0.1 ilobaki labda uwe mshirikina, fisadi au jambazi ndo utaimaintain
nikihesabu fedha niliyo poteza kwenye uzinzi ni nyingi sana

nikiwa mdg nilikuwa nafuga njiwa,kuku,na mbuzi na mdg wangu tunauza, ye anahifadhi fedha mie nahonga hadi tunafika shule ya sekondari ye fm2 mie 4 akanunua baiskeli mie sina kitu

kuna siku tukakwazana, akanambia kwa fedha unayo pata ulitakiwa kuwa na pikipiki sio kuhangaika kuniomba baiskeli yangu

umalaya ni gharama mnoo
 
nikihesabu fedha niliyo poteza kwenye uzinzi ni nyingi sana

nikiwa mdg nilikuwa nafuga njiwa,kuku,na mbuzi na mdg wangu tunauza, ye anahifadhi fedha mie nahonga hadi tunafika shule ya sekondari ye fm2 mie 4 akanunua baiskeli mie sina kitu

kuna siku tukakwazana, akanambia kwa fedha unayo pata ulitakiwa kuwa na pikipiki sio kuhangaika kuniomba baiskeli yangu

umalaya ni gharama mnoo
Pole ila mbususu sijui Kuna nn hapo yaan mm nikiona mstari chupi umechora kny suruali tu udenda teyari,
 
Back
Top Bottom