dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mie ni chaputa dam dam, unataka proof ?Unadanganya watu wapige puchu ili wamaluzr akili ww una demu akii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie ni chaputa dam dam, unataka proof ?Unadanganya watu wapige puchu ili wamaluzr akili ww una demu akii
Johnnie Walker ni mpare ana roho mbaya san 🤣🤣🤣Gily ni mrombo 😂😂😂
Ahahaha ila sikuzid weweJohnnie Walker ni mpare ana roho mbaya san 🤣🤣🤣
Kabisakuna mwl wangu aliniambiaga usichague ualimu sas, na ww unawaambia wanafunzi hivyo?
Wek video tuone lasivyo it's invalid or vainmie ni chaputa dam dam, unataka proof ?
Hapa naomba ufafanuziWanaume wakimya kaa nao mbali.
nikihesabu fedha niliyo poteza kwenye uzinzi ni nyingi sanaUlevi na umalaya unarudisha maendeleo kwa asilimia 99.9 na hiyo 0.1 ilobaki labda uwe mshirikina, fisadi au jambazi ndo utaimaintain
Pole ila mbususu sijui Kuna nn hapo yaan mm nikiona mstari chupi umechora kny suruali tu udenda teyari,nikihesabu fedha niliyo poteza kwenye uzinzi ni nyingi sana
nikiwa mdg nilikuwa nafuga njiwa,kuku,na mbuzi na mdg wangu tunauza, ye anahifadhi fedha mie nahonga hadi tunafika shule ya sekondari ye fm2 mie 4 akanunua baiskeli mie sina kitu
kuna siku tukakwazana, akanambia kwa fedha unayo pata ulitakiwa kuwa na pikipiki sio kuhangaika kuniomba baiskeli yangu
umalaya ni gharama mnoo
Ukweli ni kwamba yanga atakuwa bingwa wa nchi...simba tulie😂😂😂😂Ukweli ni kwamba kwasasa Yanga haiwezi kushindana na Simba, labda kwa mdomo.😁
Ah bro tupo wengi wenye ugonjwa huoPole ila mbususu sijui Kuna nn hapo yaan mm nikiona mstari chupi umechora kny suruali tu udenda teyari,