Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Mnaosema kwamba ndoa tamu ikiwa pesa ipo,ikikosekana utamu unaisha poleni kwa kukosekana uaminifu kwenye ndoa zenu.Binafsi najua kwenye maisha kuna kupanda na kushuka so hata kesho tukiamka hatuna kitu mapenzi yangu kwake hayatakoma.Hii ni kwasababu tulivitafuta na kwa imani tutavitafuta tena.Binafsi sijawai juta kuolewa na sijui kama nitajuta.

Ndo ni nzuri jamani,kuwa na mtu wa kumwambia hisia zako at anytime na bla bla nyingine nyingine raha sana.
Hongera sana mkuu, unajua watu hutazama maisha in a different dimensions na tunatofautiana levels of “Endurance”.

Kuna watu hufurahia maisha as long as kuna amani ya moyo tu and they don’t care about other stuffs! Hawa ndio wale ambao wako true with themselves! Hawana matata kabisa! Ale mchicha dagaa ugali as long as kuna upendo vipindi vya shida na raha yeye atakuwa pamoja na wewe tu and too suportive emotionaly. Hawa ndio wengi hufurahia ndoa. If you happen to have this kind of marriage then you are damn lucky.

Wengine hufurahia maisha so long as kuna pesa tu ya kuburudisha nafsi zao. They don’t care about peace of mind alimradi kuna pesa ya kuspend tu wao wataendelea kuvumilia ndoani kinafiki tu! Kundi hili ndio wengi na hu suffer na matatizo ya ndoa big time especially in bad financial times! Mifarakano, ugomvi na kelele yani nyumba hugeuka jehanamu!

So hongera sana kama una ndoa iliogubikwa na upendo. Kweli mlichaguana vyema
 
Au Kuna ile unakuta siku hiyo umeamua kumpiga show mpaka anakimbilia room y watoto,,,,, unaanza mbembeleza kesho nakununulia chupi anajibu ulininunulia dazani juzi Hapa bado zingine sijavaa,,, unaamua mwambia basi tutajenga nyumba nyingine, unakuta anatabasamu anakwambia nimechoka mume wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho huwa namwambia njoo nikunyonye uchi japo dakika Moja ktkt y sucking unasikia basi malizia baby ila jitahidi umalize chap
Na mtaachana tu nakwambia usitutishe
 
Back
Top Bottom