Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Manati ya kizungu au ya kihehe??Nakushauri tumia manati, ugomvi sio mpaka mkunjane mashati hata mbali mbali tu unaua show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manati ya kizungu au ya kihehe??Nakushauri tumia manati, ugomvi sio mpaka mkunjane mashati hata mbali mbali tu unaua show
Tatizo kam block 😂😂Si una bifu na aliyekuahidi ajira?[emoji23]
Humu kasema yupo[emoji23]Tatizo kam block [emoji23][emoji23]
Mwambie yaani imefika november kaniblockTatizo kam block 😂😂
Mwendee kwa babu yakoo yule wa kimasaiMwambie yaani imefika november kaniblock
Bila kupepesa macho wataje please[emoji23]Countrywide hata wanaume humu baadhi yao wanakera wanajiona matajiri kumbe wameajiriwa
Hana heraa achana naye tu Mungi yupo anatenda mema atanipa mwaka mwenye furaha amani na upendo , ataniepushia wanafiki , wenye kusema uongo , ataniheshimisha kumalizia mwaka huu nakuanzia mwingineMwendee kwa babu yakoo yule wa kimasai
Wengi wanafake maisha ili wamake it . Halafu hivi vibabu vya humu nawapa respectBila kupepesa macho wataje please[emoji23]
Kwa wadada wanaofake maisha Hannah ni namba moja
Vibabu gani[emoji23][emoji23]Wengi wanafake maisha ili wamake it . Halafu hivi vibabu vya humu nawapa respect
Tatizo huwataji [emoji23][emoji23][emoji23]Hana heraa achana naye tu Mungi yupo anatenda mema atanipa mwaka mwenye furaha amani na upendo , ataniepushia wanafiki , wenye kusema uongo , ataniheshimisha kumalizia mwaka huu nakuanzia mwingine
Huyo apewe tuzo imajini mtu anafake mpk shape 😂😂😂Bila kupepesa macho wataje please[emoji23]
Kwa wadada wanaofake maisha Hannah ni namba moja
Unajitahidi 😂😂😂Vibabu gani[emoji23][emoji23]
Mbona huwataji?
Dawa ya umbea ni umbeaSio kwenye umbea?
Sitaki 😂😂😂Kuna dharura, toka huku
😂😂😂😂😂unahisi unachinjwa wwUnakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe.
Unahisi
Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi machinjioni so most of the time nikikutana nae ni either ana visu au kishoka kiunoni. Nashindwa hata jinsi ya kumuingia.
Ila namchukia kinyama huyu boya.
Analyse
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Countrywide hata wanaume humu baadhi yao wanakera wanajiona matajiri kumbe wameajiriwa
Hujaeleweka bado[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]