Sio kwamba haifiki mkuu. But hutaenjoy kuliendesha kwa dar.. hili linafaa rough roads. Milima na mabonde na matope.. sio lami na foleni za dar
Kandoto kadogo ila kazuri bana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake!Kwa usawa huu wa Mh. Magu plus Jua kali
Mazao yanakauka shamban
Mi wala sina makuu haka tuu kananitoshaView attachment 1059497
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni yule Marley wa madini sio ??yaan upo bongo hii hii huijui gari ya marley dollar, hii ndo gari ya babaView attachment 1059115
yesHuyu ni yule Marley wa madini sio ??
Namfahamu ametoka mbali sana Marley ila ana akili ya pesayes
Hapa Jf kuna ID moja maarufu daily huwa nahisi ni yeye one day yes nitajiridhisha
Jamaa ni fighter sanaNamfahamu ametoka mbali sana Marley ila ana akili ya pesa
Mno alokuwa nao hawakufanikiwa,na waliofanikiwa wameshachoka mpaka partner wake huko hoiJamaa ni fighter sana
Wako wapiMno alokuwa nao hawakufanikiwa,na waliofanikiwa wameshachoka mpaka partner wake huko hoi
So, bado anapiga mishe za madini? Kuna wasiokata tamaa mpk wapate wanachokitakaMno alokuwa nao hawakufanikiwa,na waliofanikiwa wameshachoka mpaka partner wake huko hoi
Wapo mi nawafahamu wengi tuWako wapi
So, bado anapiga mishe za madini? Kuna wasiokata tamaa mpk wapate wanachokitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataacha ?? Bado anapiga mara nyingi anakuwa MsumbijiSo, bado anapiga mishe za madini? Kuna wasiokata tamaa mpk wapate wanachokitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeanza toka comment ya kwanza namaliza nakutana na hii kitu. Katika wote wewe na wachache waliopost land cruiser na Jeep ndio nimewaelewa.Hii ni kwa wale wanaoweza kucheza na pedal 3View attachment 1059607
Sent using Jamii Forums mobile app