Roll Royce!! Hivi Mondi aliishiaga wp kumiliki hili dude au ilikuwa kiki tu?
Tupia tu kapicha mzee baba!Wenzangu na mimi wa nissan surf mko wapi au tunacoment wapi jaman
Mnacoment hapo nje ya Uzi..... Teh teh, natania mkuuWenye ndoto za kumilik baskel 2na comment wp?
Hii imefanana na Discovery asee
Weka tu hapa kifaa chako cha mazoezi aka baiskeliWenye ndoto za kumilik baskel 2na comment wp?
Wenzangu na mimi wa nissan surf mko wapi au tunacoment wapi jaman
afadhari wewe umekua realistic, Mungu akusimamie
Nadhani alimaanisha hii.Duuh nissan surf hio itakua ni toleo limetoka leo asubuhi.
Kuna Toyota Surf tu kiongozi na sio nissan.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tuseme inshaallah!...
Pamoja Sana ndugu tuombe uzima maana hakuna kinachoshindikana ipo siku utamiliki mchuma wa ndoto zako...
Pamoja Sana ndugu tuombe uzima maana hakuna kinachoshindikana ipo siku utamiliki mchuma wa ndoto zako...
Aaameeeenafadhari wewe umekua realistic, Mungu akusimamie
Hii imefanana na Discovery asee
Teh! Yaan unajikuta hakuna namna yan, unajiweka pembeni kuepusha msongamanoKuni Nissan flani alikuwa nayo Mzee Lowasa, ile gari ni kali bei yake imesimama wima... Ndoto nyingine unakubali ikupite kiroho safi
Mbuyu ulianza kama mchicha, wengi walianza bila hata baiskeli, ila leo wana MaferraliTeh! Yaan unajikuta hakuna namna yan, unajiweka pembeni kuepusha msongamano
Sent using Jamii Forums mobile app