Uzi wa kutupia picha za viatu vya kiume!

ila hii issue ya viatu bhn huwa inaniachaga mdomo wazi.....kuna siku ndani ya mizunguko yangu town nikafika sehemu flani hv nikapark gari akaja njemba moja hivi imevaa viyebo yebo flani hv vinaitwa 'BAJAJI' nusu nirudi ndani ya gari tn
Hahahahahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…