nkowosi
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 568
- 637
Sijaviona hivi mkuu....au kwenye list havipo?![]()
Hivi vya kinyasa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaviona hivi mkuu....au kwenye list havipo?![]()
Hiki kikali![]()
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
Naona hips kama za like au macho yangu...
Sie ambao siku zimesogea haya ndio mapigo yetu![]()
Kama hiiKile cha nyuma kinahitaji kuondoa vumbi na polish
Nikitaka kuvivaa nitafanya hivyo, Samahani lakiniHiyo siifajamu utaamua mwenyewe.. haya kazi kwako
CIAO
Ok![]()
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
Nikitaka kuvivaa nitafanya hivyo, Samahani lakini
Hahahahahahaaaila hii issue ya viatu bhn huwa inaniachaga mdomo wazi.....kuna siku ndani ya mizunguko yangu town nikafika sehemu flani hv nikapark gari akaja njemba moja hivi imevaa viyebo yebo flani hv vinaitwa 'BAJAJI' nusu nirudi ndani ya gari tn
Hayo mapaja kama bashite