Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Mm sionagi mtu yyte mbaya humu.as long as hatujuan raha sana kuzinguana maana hatugusani personal issues .Nawatakia tuendelee kupelekeshana zaidi 2023
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana, hao uliowataja ni kati ya watu wa maana sana humu, utakuwa mtu wa hovyo. Wivu na fitina sana.
Chuki za wazi kabisa,
Umetaja watu wa maana wote
Ungejiweka wewe kama mwakilishi wa kundi la hovyo;
Shame on you!
unamwachaje Mwashambwa au upo na kundi moja
Hapo kwa mshana sidhani kama upo sahihi
kwa Mshana Jr umemuonea kabisa namtetea kwa jasho na damu.
Umetumia watu wanaofatiliwa Sana kuwachafua Ili Uzi utembee. Si jambo baya Kama lengo lako ni kujifurahisha
Nimegundua ni kwa nini wabongo mnaibiwa kila mwaka, kila siku. Ikitoka DECI inakuja Q NET, kutoka hiyo inakuja KALYNDA, akitoka nabii huyu anakuja kuhani huyu, mnapigwa na mtaendelea kupigwa!

Yaani nyie matapeli ndio mnawaona watu wa maana!? Wote waliotajwa kwenye uzi ni wajanja wajanja tu wasela, wahuni wahuni!

Ndugu, OGOPA MATAPELI!
 
Nimegundua ni kwa nini wabongo mnaibiwa kila mwaka, kila siku. Ikitoka DECI inakuja Q NET, kutoka hiyo inakuja KALYNDA, akitoka nabii huyu anakuja kuhani huyu, mnapigwa na mtaendelea kupigwa!

Yaani nyie matapeli ndio mnawaona watu wa maana!? Wote waliotajwa kwenye uzi ni wajanja wajanja tu wasela, wahuni wahuni!

Ndugu, OGOPA MATAPELI!
Ndo umeandika nini?😏
 
1. Mshana Jr huyu jamaa alipoambiwa yeye ni expert wa uchawi basi akaanza kuamini kila sehemu ni expert hata kwenye mambo ya akili. Hapo ndo akaanza kuharibu sana. Maana kuna mambo mengine yanataka akili siyo ujanja ujanja.

2. UMUGHAKA jamaa alikuja na story flan mademu wakaipenda sana basi kutoka hapo akawa anakurupuka tu kila wakati anatunga anasema ni maisha yake...wenye akili tukaanza ku question. Akatuchukia. ..mwaka huu aliharibu padogo tu. Sasa amebaki na mademu na wasio na elimu kubwa. Ila mi namtia moyo asiache kupambana atatoka tu kwa style hiyo hiyi....wajinga ni wengi kuliko werevu.

3. Kuna mwingine kubwa jinga yeye anapenda sana attention. Ana IDs kama 20 hivi siyo kama sisi wengine. Hajui kitu ila anapenda kuonekana anajua na katika hizo harakati ndo anaonesha hajui. Wenye akili tunamcheck tunasema hiiiiiii....yupo very insecure. Na ni mtu aliyeathirika na kudharaulika akiwa anakua. So anatafuta sana kuheshimika na kuwa maarufu. Ukimkosoa anakutukana siku nzima. Jina lake limenitoka kidogo.anaipenda team moja ya hovyo kibonde chetu ya Kariakoo.

4. Lucas mwashambwa huyu jamaa ni msafwa akachukua jina la Kinyakyusa ili naye aonekane mtu. Njaa imemganda hadi kichwani...analamba viatu sana na bado haonekani. Basi amebaki tu kusifu na kuabudu na njaa yake. Anaishia kulamba lips. Mwaka 2023 aje na mbinu mpya hii inaweza isimtoe.akabaki hivi hivi siku zote

5. Daaaah..... Hadi mimi Chizi Maarifa nimetajwa kuwa ni mtu wa hovyo. But mbona nina akili sana? Au ndo wakati mwingine mwezi mchanga?sema kuna wakati nakuwa na Ujinga flani hivi sielewi inakuaje nakuwa na mambo ya kiduanzi sana. Mwaka ujao niache ufala nifanye mambo ya msingi.

6. mpwayungu village huyu jamaa baada ya demu wake kuchukuliwa na mwalimu sababu ya yeye kuwa njaa mbaya. Aliamua kuanzisha vita na walimu mwaka huu wote..... Yeye hata akijikwaa anakuja kuanzisha uzi kulaumu walimu. Akidaiwa pesa za watu hasira anakuja kutolea kwa walimu. Nimeshamshauri atafute demu mwingine....anasema hawezi penda kama alivyompenda yule binti.

Nawataka wajirekebishe mwaka 2023 hautakuwa rahisi kwao. Nimeamua kuwa nyuma yao kuangalia mienendo yao. Wabadilike.
Tujifunze kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo.
Kipimo cha uhovyo si kama hicho, Kumfuata mhusika nyuma ya pazia na kumwambia moja mbili tatu ni vyema sana tofauti na hivo ww ndo utakua mtu wa ovyo.
 
Yaani Lionel Messi wa PSG FC ya Ufaransa atishwe au aogopeshwe na Clement Mzize wa Yanga SC ya Tanzania?

Endelea kujipa Moyo na Kujidanganya.
Genta, zile frame Lugalo jeshini wamezivunja inaonekana wamefanyia kazi ushauri wako.
 
Orodha ndogo sana hii fanya kuongeza na wale mods nao wapo hovyo sana
 
1. Mshana Jr huyu jamaa alipoambiwa yeye ni expert wa uchawi basi akaanza kuamini kila sehemu ni expert hata kwenye mambo ya akili. Hapo ndo akaanza kuharibu sana. Maana kuna mambo mengine yanataka akili siyo ujanja ujanja.

2. UMUGHAKA jamaa alikuja na story flan mademu wakaipenda sana basi kutoka hapo akawa anakurupuka tu kila wakati anatunga anasema ni maisha yake...wenye akili tukaanza ku question. Akatuchukia. ..mwaka huu aliharibu padogo tu. Sasa amebaki na mademu na wasio na elimu kubwa. Ila mi namtia moyo asiache kupambana atatoka tu kwa style hiyo hiyi....wajinga ni wengi kuliko werevu.

3. Kuna mwingine kubwa jinga yeye anapenda sana attention. Ana IDs kama 20 hivi siyo kama sisi wengine. Hajui kitu ila anapenda kuonekana anajua na katika hizo harakati ndo anaonesha hajui. Wenye akili tunamcheck tunasema hiiiiiii....yupo very insecure. Na ni mtu aliyeathirika na kudharaulika akiwa anakua. So anatafuta sana kuheshimika na kuwa maarufu. Ukimkosoa anakutukana siku nzima. Jina lake limenitoka kidogo.anaipenda team moja ya hovyo kibonde chetu ya Kariakoo.

4. Lucas mwashambwa huyu jamaa ni msafwa akachukua jina la Kinyakyusa ili naye aonekane mtu. Njaa imemganda hadi kichwani...analamba viatu sana na bado haonekani. Basi amebaki tu kusifu na kuabudu na njaa yake. Anaishia kulamba lips. Mwaka 2023 aje na mbinu mpya hii inaweza isimtoe.akabaki hivi hivi siku zote

5. Daaaah..... Hadi mimi Chizi Maarifa nimetajwa kuwa ni mtu wa hovyo. But mbona nina akili sana? Au ndo wakati mwingine mwezi mchanga?sema kuna wakati nakuwa na Ujinga flani hivi sielewi inakuaje nakuwa na mambo ya kiduanzi sana. Mwaka ujao niache ufala nifanye mambo ya msingi.

6. mpwayungu village huyu jamaa baada ya demu wake kuchukuliwa na mwalimu sababu ya yeye kuwa njaa mbaya. Aliamua kuanzisha vita na walimu mwaka huu wote..... Yeye hata akijikwaa anakuja kuanzisha uzi kulaumu walimu. Akidaiwa pesa za watu hasira anakuja kutolea kwa walimu. Nimeshamshauri atafute demu mwingine....anasema hawezi penda kama alivyompenda yule binti.

Nawataka wajirekebishe mwaka 2023 hautakuwa rahisi kwao. Nimeamua kuwa nyuma yao kuangalia mienendo yao. Wabadilike.
Mathanzua na huyu bwana abadilike. Anajiona dini yake perfect sana kuliko za wenzake.. anajiona nephew wake Nabii Elijah
 
1. Mshana Jr huyu jamaa alipoambiwa yeye ni expert wa uchawi basi akaanza kuamini kila sehemu ni expert hata kwenye mambo ya akili. Hapo ndo akaanza kuharibu sana. Maana kuna mambo mengine yanataka akili siyo ujanja ujanja.

2. UMUGHAKA jamaa alikuja na story flan mademu wakaipenda sana basi kutoka hapo akawa anakurupuka tu kila wakati anatunga anasema ni maisha yake...wenye akili tukaanza ku question. Akatuchukia. ..mwaka huu aliharibu padogo tu. Sasa amebaki na mademu na wasio na elimu kubwa. Ila mi namtia moyo asiache kupambana atatoka tu kwa style hiyo hiyi....wajinga ni wengi kuliko werevu.

3. Kuna mwingine kubwa jinga yeye anapenda sana attention. Ana IDs kama 20 hivi siyo kama sisi wengine. Hajui kitu ila anapenda kuonekana anajua na katika hizo harakati ndo anaonesha hajui. Wenye akili tunamcheck tunasema hiiiiiii....yupo very insecure. Na ni mtu aliyeathirika na kudharaulika akiwa anakua. So anatafuta sana kuheshimika na kuwa maarufu. Ukimkosoa anakutukana siku nzima. Jina lake limenitoka kidogo.anaipenda team moja ya hovyo kibonde chetu ya Kariakoo.

4. Lucas mwashambwa huyu jamaa ni msafwa akachukua jina la Kinyakyusa ili naye aonekane mtu. Njaa imemganda hadi kichwani...analamba viatu sana na bado haonekani. Basi amebaki tu kusifu na kuabudu na njaa yake. Anaishia kulamba lips. Mwaka 2023 aje na mbinu mpya hii inaweza isimtoe.akabaki hivi hivi siku zote

5. Daaaah..... Hadi mimi Chizi Maarifa nimetajwa kuwa ni mtu wa hovyo. But mbona nina akili sana? Au ndo wakati mwingine mwezi mchanga?sema kuna wakati nakuwa na Ujinga flani hivi sielewi inakuaje nakuwa na mambo ya kiduanzi sana. Mwaka ujao niache ufala nifanye mambo ya msingi.

6. mpwayungu village huyu jamaa baada ya demu wake kuchukuliwa na mwalimu sababu ya yeye kuwa njaa mbaya. Aliamua kuanzisha vita na walimu mwaka huu wote..... Yeye hata akijikwaa anakuja kuanzisha uzi kulaumu walimu. Akidaiwa pesa za watu hasira anakuja kutolea kwa walimu. Nimeshamshauri atafute demu mwingine....anasema hawezi penda kama alivyompenda yule binti.

Nawataka wajirekebishe mwaka 2023 hautakuwa rahisi kwao. Nimeamua kuwa nyuma yao kuangalia mienendo yao. Wabadilike.
Daaah!!! Mzee pole sana, kwa kumjumuisha brother Mshana Jr maana huyo ni kama baba, kaka au kiongozi wa JF kwa karne hii
 
Mathanzua na huyu bwana abadilike. Anajiona dini yake perfect sana kuliko za wenzake.. anajiona nephew wake Nabii Elijah
Mkuu asante kwa kunitaka nibadilike,but change to what.Niwe stooge na maamuma ndio ufurahi ?No nitasimamia commission yangu kama nilivyopewa na Bwana Yesu.Halafu niku-alert,Bwana Yesu hakuleta dini duniani,he brought salvation.Religions are Institutions of the Devil to guide humanity to rebel against the Most High God.Tokeni huko,you are wasting time.Mtafungwa na mifumo ya Dunia ya Shetani mpaka lini?Amkeni.
 
Mshana Jr kula kichwa hicho,hujamroga tu na ww uko vizuri kwenye hili eneo
 
Back
Top Bottom