Uzi wa kuwaunganisha wenye ujuzi na wenye mitaji

Mazao ya aina gani yanatoka kwa haraka sokoni?
 
Wazo ni zuri,ingekuwa vizuri kama ungeweka breakdown hapa ili huyo atakayetoa mtaji wa 20M awe na uhakika wa fedha zake kabla ya kufika huko pm.
 
Naam, ni soko zuri pia. Ila kwangu mimi nauzia kule Machinjioni, saizi mahindi yameanza kuwa na faida nzuri fanya upesi urudi mzigo.

MGC
Kiongozi kwa sasa sifikirii sana hela ipo kweli ila kuna sehemu nimeanza kujipangilia ngoja mizizi iote kwanza
 
Wazo zuri,huyo mbia anatakiwa awe na mtaji kiasi gani? Napia kwa sababu uko field,hiyo biashara huwa inakupa faida kiasi gani,kwa mwezi?
Mbia anatakiwa awe na uwezo wa kununua machine palletazing mashine yenye thamani ya ml 60
Eneo la kazi ninalo na mtaji wa kuanzia kidogo hiyo mashine ni kuongeza valuu ya material yani inatengeneza atua ya mwisho ya materials tofauti na hii niliyonayo ya atua ya Kwanza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya muda gani,hiyo mil 60 inaweza kurudi baada ya kuwekeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…