Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
- Thread starter
- #61
Unataka kujifunza animation za 2D au 3D?wakuuu ninahitajin kujifunza animation wap pahala sahihi pa kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kujifunza animation za 2D au 3D?wakuuu ninahitajin kujifunza animation wap pahala sahihi pa kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Tupe maelekezo namna ya kufanya hicho kitu hapo mkuu!
"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
Search hivi..
Youtube zipo za kutosha, katika kila utakachohitaji kujifunza.Mkuu naweza kujifunza hii mpaka sasa nimejifunza illustrator na Photoshop cko vibaya Sana ila naona hii iko advance Sana nitapata wapi tutorial zake
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu tutashkuru....ninachotaka ni namna ya kufanya muonekano kama uo kwenye pc yanguOk nadhani kwenye ku move hizo icon ndio shida kwenu nimeona. Ngoja nikiwasha pc nitawaelekeza vizuri.
Muwe na subira
kinachonishinda ninkutengeneza muonekano wa dizaini iyo...yan kupqngilia file kama kwenye izo picsKipi kimekuahinda hapo..?
Huyu Jamaa naona anafundisha vizuri kwa wale beginners.....Mkuu naweza kujifunza hii mpaka sasa nimejifunza illustrator na Photoshop cko vibaya Sana ila naona hii iko advance Sana nitapata wapi tutorial zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok fanya hivi..sawa mkuu tutashkuru....ninachotaka ni namna ya kufanya muonekano kama uo kwenye pc yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok fanya hivi..
Right click hapo kwenye desktop ije ile box ya kupangilia vitu eg personalize..sort..refresh etc..
Nenda pale palipoandikwa View kisha angalia kwenye kua align icons..
Disable pale kwenye auto arrange icons na align icons to grid. Ukifanya hvo utaweza kupeleka icon popote pale.
Jaribu ikishindikana uliza
asante mkuu nimefanikiwa...ila aionyeshi vizuri sababu ya zoom nadhani...akuna namna inaweza baki na clarity yake kama mwanzo ukishaset....picha ya kwqnza ni baada ya kuset....picha ya pili ni ya kudowloadSearch hivi..
"Best pc wallpaper " utaziona..
Au Room pc wallpaper
Bofya window logo na print screen button.. utaweza piga screen shotasante mkuu nimefanikiwa...ila aionyeshi vizuri sababu ya zoom nadhani...akuna namna inaweza baki na clarity yake kama mwanzo ukishaset....picha ya kwqnza ni baada ya kuset....picha ya pili ni ya kudowloadView attachment 1355340View attachment 1355341
Sent using Jamii Forums mobile app