Uzi wa kuweka picha zilizotengenezwa na kompyuta

Uzi wa kuweka picha zilizotengenezwa na kompyuta

MACHWEO
ocean  sunset.png
 
Animation time
Hii ndiyo project ambayo nimekuwa nikiifanya kwa muda sasa, ila nakosa matumaini kama nitaimaliza maana mambo ni mengi mno kufanya pekeyangu kila kitu. But vyovyote vie itakavyokuwa nimejifunza mengi mno kupitia kwayo
Screenshot_2020-03-13-04-43-30.png


Screenshot_2020-03-13-04-44-34.png


Click hapa chini kama unataka kuona anamition zake kwa ufupi sana
 

Attachments

  • ep3_2.mp4
    10.1 MB
  • ep3_1.mp4
    10.5 MB
Hongera sana.
Vip umeshapata njia ya kujiiingizia kipato kwa kipaji hiki au bado bw mdogo. Changamka muda ni sasa
 
Hongera sana.
Vip umeshapata njia ya kujiiingizia kipato kwa kipaji hiki au bado bw mdogo. Changamka muda ni sasa
Hapana mkuu, bado nafanya kama sehemu ya burudani nikiwa free na nikiwa na mood pia. Kuna wakati niliwahi kuweka uzi humu kama kuna yeyote anayeweza kunipa kibarua kwa kazi hii, sikufanikiwa😀😀😀. Bado nachungulia huku na kule kuona fursa, kama ikipatikana fresh na isipopatikana pia sio kesi maana nina malengo nayo ya mda mrefu.
 
aisee uko vizuri, kuna kipindi nilidownload hiyo blender ili nipate kujifurahisha,
ila ile kufungua tu nikakuta siyo vile niliyodhani, nikaifutilia mbali,

ila nitajaribu tena aisee.
 
aisee uko vizuri, kuna kipindi nilidownload hiyo blender ili nipate kujifurahisha,
ila ile kufungua tu nikakuta siyo vile niliyodhani, nikaifutilia mbali,

ila nitajaribu tena aisee.
Kwa mara ya kwanza lazima uvurugwe tu 😀😀😀😀
Mimi nilipoi download kwa mara ya kwanza mwaka 2017 nilidata mno nilipotana na ile interface, sijui ni click wapi. Kitu pekee nilichoweza kufanya ni kuisogeza ile default cube kwenda kulia na kushoto, juu na chini. Nikaona upuuzi nikafuta hiyo program. Miaka miwili baadae nikajaribu tena ndo kidogo sasa hivi nagusagusa.
 
Stephen Chelu, pHivi mkuu kwa kutengeneza picha kama hizo, kuna faida yoyote unayoipata?,
Na kama faida itakuwepo nadhani itakuwa kwenye kuziuza, Je, unaweza ukashare na masoko ya picha hizo?

Nina jamaa yangu ni mtaalam sana wakutengeneza picha kama hizo, ila huwa anafanyaga just for fun tu, ila kama zitakuwa zinasoko nadhani ni ajira nzuri sana kwa vijana

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu ku google kitu kinaitwa VFX utajua uzuri na faida ya 3D modeling.

Hayo magorofa yanayolipuliwa na maajali unayoyaona kwenye movies kali duniani hutumia hii tech. kuhadaa mtazamaji. Aangalie kwa bongo movie ataitumiaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana, brender nilitumia nnikaiacha, kwa sasa nimerudi nyuma kidogo kwenye ulimwengu wa 3D , ngoja nianze upya
 
aise naomba unifundishe haya maujanja please
Karibu mkuu,
Ila 3D ni pana sana kiasi kumfundisha mtu kwa maandishi ni ishu sana, labda awe tayari ana ufahamu wa awali kwa hiyo kitu. Cha kufanya install blender then pitia tutorials ziko youtube za kutosha. Binafsi nina tutorials 60+ pamoja na pdf kadhaa so naweza kukutumia ukihitaji. Ukishapata general idea itakuwa rahisi kuelezana katika specific issues kama sculpting, texturing na animation.
 
Karibu mkuu,
Ila 3D ni pana sana kiasi kumfundisha mtu kwa maandishi ni ishu sana, labda awe tayari ana ufahamu wa awali kwa hiyo kitu. Cha kufanya install blender then pitia tutorials ziko youtube za kutosha. Binafsi nina tutorials 60+ pamoja na pdf kadhaa so naweza kukutumia ukihitaji. Ukishapata general idea itakuwa rahisi kuelezana katika specific issues kama sculpting, texturing na animation.
Aisee fanya kunitumia hizo kama inawezekana. Mimi nitafute hiyo blender
 
Back
Top Bottom