Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Duuh pole sana mkuu.. naona unataka ujitese ajili yanguPoa poa mkuu, ngoja nikipata bando kubwa na kutosha nitakutumia. Maana mzigo una 3gb+. Kama si leo usiku basi kesho usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh pole sana mkuu.. naona unataka ujitese ajili yanguPoa poa mkuu, ngoja nikipata bando kubwa na kutosha nitakutumia. Maana mzigo una 3gb+. Kama si leo usiku basi kesho usiku.
😀 😀 😀 😀 😀Duuh pole sana mkuu.. naona unataka ujitese ajili yangu
God bless you😋😋😋😀 😀 😀 😀 😀
Usijali mkuu, hakusa mateso hapo.
😀 😀 😀 😀 😀mpk sasa hamno picha ya demu mwenye tako.... hamjui kuchora nyie Jamaa
AminaGod bless you😋😋😋
big up👊👊👊👊👊Samsung tab
View attachment 1400105
Shukran mkuu👊👊big up👊👊👊👊👊
Shukran kwa kunielimisha mkuu.. Sina utaalam huo, picha niliyoitumia kama reference image ilikuwa na vifani vyenye uwiano kama huo so nikajua hivyo ndivyo ilivyo.Uko vizuri mkuu
But virus huwa ni 100 times smaller than normal cells
Cells are giants to viruses
Mkuu na Mimi naziomba hizo tutorial nateseka sana kupata mtiririko mzuri wakati najifunza, zitanisaidia.Poa poa mkuu, ngoja nikipata bando kubwa na kutosha nitakutumia. Maana mzigo una 3gb+. Kama si leo usiku basi kesho usiku.
Unakaribishwa mkuu.Mkuu na Mimi naziomba hizo tutorial nateseka sana kupata mtiririko mzuri wakati najifunza, zitanisaidia.
we chaliiUnakaribishwa mkuu.
Nazipataje Mkuu.Unakaribishwa mkuu.
Nambie mkuu, naona umebadili koti bwana...😀😀😀we chalii
Niliwekwa kikao na mchungaji😂😂😂😂Nambie mkuu, naona umebadili koti bwana...😀😀😀
Zama PM mkuu.Nazipataje Mkuu.