Duuh. Wapi huko jamaani nilikoanza kupotea Mkuu huku jf au?Ila wewe ulipotea kabla kuna mtu akafanana na wewe.
Hivi huko ukimbizini mbona wengine mmetutenga?
Hahahaaaaa. Nadhani ni mie kama sijakosea au kuna mtu aliandika kummiss halafu mie nikaongezea nyama.kuna mtu alisema amemmiss huyu mtu kule KT sijui ulikuwa wewe
Nakusalimia Kaka. Natumai Umzima weye?Aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eeh! Emoj za njano na zakukimbia, ile kule ya kijani huku njazo afu zote rangi za chama
Hahahaaaa. Lol.Eeh! Emoj za njano na zakukimbia, ile kule ya kijani huku njazo afu zote rangi za chama
Asante [emoji4]Nakusalimia Kaka. Natumai Umzima weye?
hapana ulienda direct kwenye point kwa hakika ulikuwa wewe [emoji3][emoji2]Hahahaaaaa. Nadhani ni mie kama sijakosea au kuna mtu aliandika kummiss halafu mie nikaongezea nyama.
Aisee[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HakikaHahahaaaa. Lol.
Ila angalau huku tuserereke nazo tu.
dah nilikuwa na arosto ya JF wiki tatu,Jana ndo nilitoka uhamishoni KENYA baada ya kufungua account ya dharura JamiiForums.comMatatizo ni sehemu ya maisha, lkn tatizo la kuishi bila kuperuzi JF ni tatizo ambalo limenivuruga.
Haya haya wakuu tuambizane ,kipindi JF ilipofungiwa kwa wiki tatu hizi ni member yupi ulimmiss sana na kwa nini?
Tukutane hapa tulioimiss jf[emoji23][emoji23][emoji23]
Hureeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Za siku ni poa sana Kaka. Hatimaye tumejirudia zetu nyumbani bana.Asante [emoji4]
mm mzima kabisa dada yangu...habari ya siku nyingi!
Hahahaaaa. Lol.hapana ulienda direct kwenye point kwa hakika ulikuwa wewe [emoji3][emoji2]
Ndio hivyo. Mahaba niue hayo rafiki.Aisee
ahaahahahaHahahaaaa. Lol.
Ila huwa najikuta ananifurahisha tu kwani anajuaga kuwapa makavu Me bila kupepesa macho.
Mume wangu mimi,furaha tangu na kipenzi cha moyo wangu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
hakika na idumu mileleahaahahaha
this is our JF, tulimiss vitu ka hizo kwa kwa kweli
vivaaa forever JF
Hakila Mkuu yaani kila aina ya watu wanapatikana humu.ahaahahaha
this is our JF, tulimiss vitu ka hizo kwa kwa kweli
vivaaa forever JF
kwakweli [emoji3]Za siku ni poa sana Kaka. Hatimaye tumejirudia zetu nyumbani bana.
Hahaaa. Wameshaizowea wenyewe ila.kwakweli [emoji3]
kule ugenini lugha ilikua tatizo mm