Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

Matatizo ni sehemu ya maisha, lkn tatizo la kuishi bila kuperuzi JF ni tatizo ambalo limenivuruga.

Haya haya wakuu tuambizane ,kipindi JF ilipofungiwa kwa wiki tatu hizi ni member yupi ulimmiss sana na kwa nini?

Tukutane hapa tulioimiss jf[emoji23][emoji23][emoji23]

Hureeeeeee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heshima yenu wakuu mpo xhwali humu ndani wadau jamani mie ni member mpya humu ndani nawaombeni mni kalibixhe na mnipokee pia kwa mikono miwili nawapenda xana na pia mm ni mdau mwenzenu mpenda maendeleo km nyinyi ahxanteni na pia nafulaha icyo kifani kuungana nanyi ktk jamvi hili la GREATER THINKERS **
 
Niliwamisi sana hawa watu.

Demiss
Mzigua90 kwa sababu ya ile chura yako.
Mama sabrina
Miss Chagga
Miss natafuta
Mshana jr.
Hajar
Hearly mshikaji wangu from moro town
Mwifwa.


Na wengine kibao tu .

Ongera kwako maxence melo na uongozi wa jamii forum kwa ujumla hakika forum yetu ni zaidi ya kijiwe cha kahawa ilivyopotea basi kila kitu kilikuwa gizani.

Smatphone yangu haikuwa chochote bila jamii forum nilijihisi sina tofauti na wale wa kijijini wanaosubiria taarifa ya habari kutoka TBC peke yake.

Hakika tunajivunia uwepo wenu.
Kama mie jamaani nilikumiss pia Mkuu. Halafu sikukuona ukimbizini ujue.

Nini ilikuwa shida aisee sababu tulipata pa kujisitiri kwa muda.
 
Isije tena kama tarehe 11...daah nikaona nakosa mambo...Humu kweli kwapendeza.Jf....nilimss sana Gudume na Mshana Jr
 
Heshima yenu wakuu mpo xhwali humu ndani wadau jamani mie ni member mpya humu ndani nawaombeni mni kalibixhe na mnipokee pia kwa mikono miwili nawapenda xana na pia mm ni mdau mwenzenu mpenda maendeleo km nyinyi ahxanteni na pia nafulaha icyo kifani kuungana nanyi ktk jamvi hili la GREATER THINKERS **
Karibu Mkuu,ila jitahidi kubadilika kidogo kwenye uandishi hapo!
 
Mi niliwa email JF bila ku- respond, kumbe walikuwa wanakimbizana na compliance. mpaka tukaenda kwenye mitandao feki akina M blog unakuta mwandishi ni mmoja style ya kuandika ni ile ile, hainogeshi siku.

We acha tu Jela mbaya eisee!
 
Ngoja nikafute account yangu kule kijijini, siwezi mimi kuwa mwanakijiji kilahisi hivyo.!!
 
Back
Top Bottom