Uzi wa ma-lastborn tu

Uzi wa ma-lastborn tu

Last born muda mwengine ni mateso tu huwezi pewa baadhi ya vitu kisa ww ni mtt huwa naichukia muda mwengine 😠 maamuzi mengine unaamuliwa kisa ni wamwisho nakupinga ni ngumu kweli yaan.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]
Nilishawahi kuchezeshwa kichapo Cha mbwa koko na bro kisa sijaosha vyombo[emoji23][emoji23]
Siku nyengine sijui nilifanyaje akanikurupua usiku ati anitwike mimboko ila limboko lenyewe lile halikuwa fimbo lilikuwa ni likuni nikaona ngoja nitumie nafasi yangu ya uziwanda imtese usiku huohuo nikakimbia kusikojulikana!! Kwani palilalika ni kunitafuta bi maza alimtukana kila tusi halafu wanaenda mpk mbali kunitafuta wkt mhuni nimejibanza jirani nawasikia tu[emoji23][emoji23]

Mziwanda Mimi nilikuwa mmwaga kojo hatari siku moja sista akanifungia kazi asubuhi tu nishachafua mashuka wacha anitimue nikiwa uchi mi nachekelea najiuliza huyu sister leo mbona kanigeukia halafu anambio utafikiri Hussein bolt!! Kanikamata kafura kunipiga hata hajanipiga wala nini moja kwa moja mpk bafuni ati nifue mashuka! Ndo kwanza nilikuwa natabasam maana kufua nilikuwa sijui wkt huo njemba nyengine zipo mlangoni zinashangaa tu akaja bi maza zote zikapisha akaingia akafua[emoji23][emoji23] na kojo liliendelea kama kawa haswa ninywe ile mi juisi kola ulikuwa unanukia mkojo wa kishenzi ule! Halafu hata waniwekee makaratisi ati kojo lisifike kwenye godoro wapi kojo lile lilikuwa na ufahamu litapata upenyo tu[emoji23][emoji23]

Uziwanda una tabu zake na raha zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmi ni mtoto wa kwanza ila nimewah kua last born kabla wadogo zangu hawajazaliwa
 
Dada zangu wote hawanipendi napendwa na kaka zangu tu ila nao pia mm siwapendi mana sasa nishakuwa mtu mzima uzazi ungekubali mapema ungekuta naitwa bibi sasa ila wananiita dogo sipendi mnoo yani vimajukumu vilr vya kijinga jinga utasikia mcheki dogo ashuhulikie fasta
ILA SIJUI KWANINI MALAST BORN WENGI TUNACHUKIWA SANA NA WAKUBWA ZETU ,
YANI UKIFUATILIA FAMILIA NYINGI LAST BORN HAWAPENDWI, SIJUI NI WIVU?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine nachochukia n kwamba nisipotimiza jukumu flani lawama nyingi mana wote utasikia ww nilikulipia ada mara hivi mara vile na ukicheki nina ndugu 7 yani ni mtihani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom