Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie ni majambazi ya familia[emoji23]Haki ya Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba sisi Ni materrorist jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani jamani last born Ni last born tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ILA SIJUI KWANINI MALAST BORN WENGI TUNACHUKIWA SANA NA WAKUBWA ZETU ,
YANI UKIFUATILIA FAMILIA NYINGI LAST BORN HAWAPENDWI, SIJUI NI WIVU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Last born muda mwengine ni mateso tu huwezi pewa baadhi ya vitu kisa ww ni mtt huwa naichukia muda mwengine [emoji34] maamuzi mengine unaamuliwa kisa ni wamwisho nakupinga ni ngumu kweli yaan.
Haki ya Nani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie ni majambazi ya familia[emoji23]
Ndiwoooo.Haki ya Nani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba Mimi Ni gaidi sio?[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh uyo uhakika wa kuadhibiwa upo
Nilishawahi kuchezeshwa kichapo Cha mbwa koko na bro kisa sijaosha vyombo[emoji23][emoji23]
Siku nyengine sijui nilifanyaje akanikurupua usiku ati anitwike mimboko ila limboko lenyewe lile halikuwa fimbo lilikuwa ni likuni nikaona ngoja nitumie nafasi yangu ya uziwanda imtese usiku huohuo nikakimbia kusikojulikana!! Kwani palilalika ni kunitafuta bi maza alimtukana kila tusi halafu wanaenda mpk mbali kunitafuta wkt mhuni nimejibanza jirani nawasikia tu[emoji23][emoji23]
Mziwanda Mimi nilikuwa mmwaga kojo hatari siku moja sista akanifungia kazi asubuhi tu nishachafua mashuka wacha anitimue nikiwa uchi mi nachekelea najiuliza huyu sister leo mbona kanigeukia halafu anambio utafikiri Hussein bolt!! Kanikamata kafura kunipiga hata hajanipiga wala nini moja kwa moja mpk bafuni ati nifue mashuka! Ndo kwanza nilikuwa natabasam maana kufua nilikuwa sijui wkt huo njemba nyengine zipo mlangoni zinashangaa tu akaja bi maza zote zikapisha akaingia akafua[emoji23][emoji23] na kojo liliendelea kama kawa haswa ninywe ile mi juisi kola ulikuwa unanukia mkojo wa kishenzi ule! Halafu hata waniwekee makaratisi ati kojo lisifike kwenye godoro wapi kojo lile lilikuwa na ufahamu litapata upenyo tu[emoji23][emoji23]
Uziwanda una tabu zake na raha zake
Kwani nani tena, wewe..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe ni katerrorist eeh??
Huoni hata actions zangu kule za kigaidi gaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiwoooo.
ILA SIJUI KWANINI MALAST BORN WENGI TUNACHUKIWA SANA NA WAKUBWA ZETU ,
YANI UKIFUATILIA FAMILIA NYINGI LAST BORN HAWAPENDWI, SIJUI NI WIVU?
Sent using Jamii Forums mobile app