Hollyman na maundumla:naanza Kwa Kuulza 1. Naomba Npate Pcha Halis Ya Sakata La Okwi 2.Hatua Gan Znapaswa Kuchukuliwa Dhid Ya Katb Mkuu Wa Yanga Aliye Ishutumu Vkali Kamat Ya Maadl,{kwan Ulaya Shu2ma Za Hv Watu Huchukuliwa Hatua} Hapa Sheria Ipoje? 3.Unalionaje La Kuishaul Serkal La Kujenga Shule Mfan Wa Makongo Kila Kanda?
Mimi swali langu ni vipi unaichukulia kamati yako ya ligi kwa kutoa maamuzi mabovu ya mchezo wa ligi daraja la kwanza kati ya stand ya shinyanga na kanembo fc ya kigoma. Kwanin mechi iludiwe wakati upande mmoja haukuhusika na vurugu.
Ili mpira ukue tunahitaji kuwekeza katika vijana wadogo je mmechukua hatua gani kwa soka la vijana mfano kuanzisha academy
Vipi kuhusu hizi timu za jeshi ambazo mmiliki wake ni mmoja, je zitapunguzwa lini na kubaki 1 kama maagizo ya Fifa yanavotaka?
Msisitizo wangu ni kuimarisha soma la vijana inabidi mweke sheria kali kuhakikisha Klan zinajikita kwny kuimarisha soma la vijana
Jamal, mimi nakupongeza na kukumbuka umetoka mbali toka enzi za DJB.
Hongera sana!.
Pasco.
Hilo suala ninalifuatilia kwa karibu ili kuhakikisha fairplay,kuna maagizo nimeyatoa leo mchana stand utd na kanwmbwa watafahamishwa punde.
Bishanga hata chit chat katukimbia jamani.