Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Name calling. .....niwahite Mods wakushughulikie?? Lol
Mi nimetaja nini? Acha umbea baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Name calling. .....niwahite Mods wakushughulikie?? Lol
Mi nimetaja nini? Acha umbea baba.
Naanza Kwa Kuulza 1. Naomba Npate Pcha Halis Ya Sakata La Okwi 2.Hatua Gan Znapaswa Kuchukuliwa Dhid Ya Katb Mkuu Wa Yanga Aliye Ishutumu Vkali Kamat Ya Maadl,{kwan Ulaya Shu2ma Za Hv Watu Huchukuliwa Hatua} Hapa Sheria Ipoje? 3.Unalionaje La Kuishaul Serkal La Kujenga Shule Mfan Wa Makongo Kila Kanda?
Hollyman na maundumla:
1.La okwi tuvute subira FIFA watoe mwongozo,woga wetu ilikuwa ni kuruhusu Yanga wachezeshe mchezaji ambaye pengine angeonekana hana uhalali.
2.TFF tulitoa onyo kuhusu matamshi ya dhihaka/uchochezi.Tunafuatilia tupate mkanda wa matamshi hayo ndipo tuchukue hatua.
3.Kupewa uenyeji AFCON bila kuandaa fainali za vijana kwanza sio rahisi.Rwanda walianza na under17 sasa 2016 wamepewa CHAN,inakwenda kwa hatua ili nchi ipate uzoefu.Sisi tumeomba fainali za vijana U17 mwaka 2019.
4.Makongo na Jitegemee ni miradi ya jeshi tunawashukuru.Tupo mbioni kuorodhesja academies zote na sports centres tujue ziko wapi,zinafanya nini,zinahitaji nini ili tijue tunaIratibu na kuziendeleza vipi ikiwa ni pamoja na ku harmonize mtaala.
Mh Malinzi kwanza nikupongeze kwa kuchaguliwa kwako ingawa figisufigusu zilitawala..Swali langu TFF ina mpango gani kamati ya ufundi ya team ya Taifa ambayo inaonekana inasuasua sana na kocha kama uwezo wake umefika mwisho? Pili kuna fitina zimeenea sana mtaani kuwa katibu mkuu wa TFF hakuwa na sifa za kutosha ukilinganisha na wengine walioomba. Na usaili ulifanyika na TFF yenyewe au kampuni kama tulivyozea za kpmg ! Nashukuru Mh Rais
Tiketi za electronics zitaanza lini?
Jamali Malinzi nina ushauri kwako, nakuomba mtoe ushauri kwa kila rais wa taifa letu awe anajenga uwanja/viwanja wa kisasa mfano wa Uwanja wa Taifa kila mkoa, after miaka kadhaa nchi nzima itakuwa na viwanja bora kabisa.
Anza na Kikwete.
Stay tuned kuhusu technical department.
la ajira mjadala ushafungwa,tunasonga mbele kuelekea kuboresha mpira wetu.
Jamal Malinzi kuna huyu Mwandishi wa Habari na Mtangazaji wa Star Tv David Azaria mara nyingi nimeshuhudia vipindi vyake vingi akiwa na mtangazaji mwenzake Hilary Riami amekuwa akiisifu sana tff yako pamoja na mikakati unayoendelea nayo,vipi unamfahamu?!,na je huwa unamtuma kukufagilia namna ile ingawa asilimia kubwa ya vitu anavyozungumza ni vya kimpira na pointi zaidi?!
Nianze na la foreign players, ukweli ni kwamba uwekezaji kwa program za vijana ni mdogo ndio maana tuna import vipaji,inabidi tuwekeze kwa vijana.Mkuu Jamal Malinzi kwanza hongera kwa ushindi ambao Jf tunajivunia member mwenzetu kuwa kiongozi wa Taasisi kubwa nchi hii ya TFF.
Pamoja na pongezi napenda kuuliza swali ambalo pengine limeshaulizwa na wenzangu, kwamba Tanzania bado tupo kwenye soka la ridhaa, lakini timu zetu yaani kuanzia vilabu mpaka timu ya taifa wanaajiri makocha (siyo consultants au wakufunzi) kutoka nchi ambazo wanacheza soka la kulipwa..... sasa ni lini unadhani Tanzania tukaingia kwenye soka la ushindani? Lini tutaondokana na Soka la ridhaa?
Pili, tumeshuhidia vilabu vikinunua wachezaji wa nje kwa gharama kubwa, na kuwalipa fedha nyingi kulinganisha na wachezaji wa ndani, sasa hauoni kwamba kwakuwa nchi yetu ipo kwenye soka la ridhaa jambo hili linaweza kuwashusha morale wachezaji wa ndani wanaojituma kuliko hao wa nje wenye majina tu? Na nini matarajio yako kuhakikisha wachezaji wetu wa ndani wanaojituma wanathaminiwa sawa na wanaotoka nje?
Kuna mpango wa kuwezesha makocha wazawa nao kuchukua team ya taifa? Maana nchi kama Nigeria mzawa anafanya vizuri sana na hii inaamsha molari ya wachezaji sana..
Mh rais wa TFF,
Hili tatizo la vijana wa kitanzania wanapopata bahati ya kwenda kucheza soka la kulipwa Ulaya na kisha kususi, mfano Haruna Moshi na Shomar Kapombe, nyinyi kama tff mme/mnalishughulikiaje ili angalau nchi yetu iwe na akina Samatta na Ulimwengu wengi??
Jamal Malinzi mimi nitarudi hapa kesho nikutwange maswali kadhaa ambayo mengi yataegemea kwenye ufundi zaidi...
Kwa sasa ngoja niegeshe mbavu zangu naamini uzi huu utakuwa endelevu...
Jamal Malinzi mimi nitarudi hapa kesho nikutwange maswali kadhaa ambayo mengi yataegemea kwenye ufundi zaidi...
Kwa sasa ngoja niegeshe mbavu zangu naamini uzi huu utakuwa endelevu...