Naanza kwa kuulza:
1. Naomba nipate picha halisi yaa sakata la Okwi
2.Hatua gani zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya Katibu Mkuu wa Yanga aliye ishutumu vikali Kamat ya maadili, (kwan, Ulaya shutuma za hivi watu huchukuliwa hatua). Hapa sheria ipoje?
3.Unalionaje swala la kuishauri Serikali kujenga shule, mfano wa Makongo kila Kanda?
1. Naomba nipate picha halisi yaa sakata la Okwi
2.Hatua gani zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya Katibu Mkuu wa Yanga aliye ishutumu vikali Kamat ya maadili, (kwan, Ulaya shutuma za hivi watu huchukuliwa hatua). Hapa sheria ipoje?
3.Unalionaje swala la kuishauri Serikali kujenga shule, mfano wa Makongo kila Kanda?