Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
Laleni salama ndugu zangu,tukijaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laleni salama ndugu zangu,tukijaliwa.
Kamati ya utendaji ya Simba tayari imekaa na kutoa mwelekeo.TFF si nia yetu kuingilia masuala ya wanachama wetu,tunafanya hapo tu ikibidi.kwanini kamati ya hadhi na sheria inabariki uvunjwaji wa katiba za wanachama wake hamuoni hali hii inaweza kuwafanya wadau wakapoteza imani na kuamua kufungua kesi mahakamani mfano wakati wa sakata la simba kati ya kamati ya utendaji na mwenyekiti wake ilionekana wazi katiba ilivunjwa kutokana na kushindwa kujazwa nafasi ya makamu ya uenyekiti baada ya siku 90 lakini bado wameendelea kukaid maagizo ya tff ya kutoitisha uchaguzi hamuoni mnakaribisha mgogoro mwingine
Fidel kuwa mstaarab kidogo tu Malinzi amalize, habari za MMU baadaye
Unakimbia PM? Ngoja mods wa pm Mentor nimshtue
Lini mtaanza kutoa electronic tickets with seat numbers for every match pale uwanja mpya?
Bw. Jamal Malinzi nimerudi tena, nitakuwa nauliza swali moja moja ili uweze kutujibu kwa kina kidogo.
Kwa nchi zilizoendelea kisoka kama Brazil, Ujerumani, Uholanzi n.k huwa zina mfumo wa uchezaji wa kabumbu (falsafa ya uchezaji).
Kwa namna fulani mifumo hii tunaweza kuiita ni tamaduni zao za kisoka ambapo kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ya taifa, wachezaji na timu za vilabu zina exercise utamaduni huu...
1. Je, sisi Tanzania tuna mfumo wowote wa kisoka hadi sasa?
2. Na kama hatuna, je kuna mipango gani ya kujaribu kutengeneza mfumo au utamaduni wa kisoka utaokuwa ni wa kitanzania na wenye tija?
3. Leodgar Tenga alijaribu kuishi katika falsafa ya mpira wa Kidenishi, je huu ndio mfumo ambao tumeamua kuunakili?
Sincerely speaking we need time kuruhusu electronic ticketing uwanja wa taifa.Hebu tusubiri tuone nini kinaendelea kwenye viwanja vyenye watazamaji wachache.
Mh, kwa nini tusubiri pale Uwanja wa Taifa? Ni kitu gani kigumu? Hoja kwamba tuanze viwanja vyenye mashabiki wachache kwanza inaleta maswali mengi na ukakasi mwingi
Tufafanulie katika hili
Mimi nna maswali kidogo ukinijibu ntashukuru
siku hizi huwa tunasikia timu za bongo hapa
mfano African Lyon na Moro united zinauzwa
mara unasikia hii imeuzwa na hii imehamishwa
je utaratibu uko vipi?
nyinyi TFF mnahusikaje?
bei ya timu zilizowahi kuuzwa hadi sasa ilifika milioni ngapi?
je kuna timu zipo sokoni?
Moro United imeishia wapi??????
The Boss,Tanzania tuna vilabu vya aina tatu,community owned (yanga,simba,coastal etc),vya kampuni binafsi (azam,mtibwa,KSugar,africa lyon etc) na vya serikali (prisons,jkt's na polisi).Vya serikali haviuziki,vilivyobaki vinauzika kwa ridhaa ya wamiliki.TFF inachokataza ni The Boss kununua malinzi fc ya masasi kisha ukataka eti unahiamishia Dar,ukinunua timu inabaki kuchezea pale ulipoikuta.Bei maelewano.
Ahsante watu8.Kuna nchi (si zote) zimebuni falsafa ya uchezaji wa mpira nchini mwao,mifano mizuri ni spain,ujerumani na italy,waingereza ndo wanakukuruka kutafuta mfumo thabiti hawajaupata.Youth development plan tunayoiandaa inatutaka tutengeneze Football curicullum (mtaala),ikiwa tayari itatoa mwongozo kwa shule zote za mpira nchini.
Jamal Malinzi unajulikana sana kama wewe ni kada wa timu ya Yanga unatuhakikishia nini sisi wana msimbazi je utaweza kuwa fair especially inapotokea utata ambao wewe unatakiwa usolve maana tunaona kwenye hata ishu ya okwi kama umelalia upande wa yanga