Ni vizuri sana kuonge na wapenda michezo wa tanzania, ila nakuomba yale wanayo shauri uwe unayapima na mengine kuyafanyia kazi,Naomba ligi kuu iwe na timu 20, ligi daraja la kwanza, la pili, tatu na nne zichenzwe kama ilivyo ligi kuu, kusiwe na vituo, itasaidia kupata wachezaji wazuri wa timu ya taifa na ligi kuu nzuri, sababu mchezaji atakae cheza ligi kuu atakuwa kapitia tabu zote la ligi ndogo tofauti na sasamchezaji ligi kuu anafundishwa jinsi ya kupiga pasi ni aibu1) Wachezaji hawajui nidhamu ya mpira2) Hawajitambui3) Mchezaji hana wakala4) mchezaji wa ligi kuu anacheza ndondo,Yote hayo yanasababishwa na kutokujitambua kwa wachezaji, lakini kama akipitia ligi zote hizo itakuwa inasaidia kupata elimu kidogo