Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Screenshot_20190302-064834.jpeg
Screenshot_20190302-064843.jpeg
Screenshot_20190302-064911.jpeg
 
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Screenshot_20190302-065320.jpeg
Screenshot_20190302-065519.jpeg
 
Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?

1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes

Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
4. jf usiku wa manane
 
Unanikumbusha mwaka jana tupo china na mwenzangu ktk kukata mitaa jamaa yangu akaniuliza ile hoteli tuliokula cha kula cha mchana ipo sehem gani?bila ya kupoteza muda nikamjibu Gongo La Mboto[emoji1321]‍♂️
Jamaa akaniangaliaa akasema kwa hasira,oyaa acha upuuzi,nikamjibu mimi au wewe nani mpuuzi??
Wewe unajua wazi kabxaa huku china mimi na wewe wote wageni sawa na bubu na kiziwi.sasa iweje uniulize ati hoteli tulokula ipo mtaa gani[emoji38]
ha ha ha nimecheka hatari kwa daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom