Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
ChaiBabu yangu amekufa na miaka 102 na pacha wake Kulwa kafa na miaka 105. Nguvu ya mtindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiBabu yangu amekufa na miaka 102 na pacha wake Kulwa kafa na miaka 105. Nguvu ya mtindi
OkSaikolojia: Mtu akikutukana, kubaliana nae. Itamfanya ashindwe kuendelea kufanya hivyo!
Mfano: 'Una sura mbaya'
Jibu: Ndio, najua!
wanasema nyege zipo kwenye hela banaUpande wa furaha, tendo la ndoa ni bora zaidi kuliko pesa!
#Tafiti
tupe mifano 😁 tuelewe zaidiKutokuoa katika umri wa utu uzima inatafsirika kama we u muhuni na mtu usiyepaswa kupewa nafasi za maana kuongoza wengine
Nashukuru kwa kuucement uchunguzi wetu Ila hatuachi kunywa ulanzi katuUlitutesa sana ulanzi kipindi kile Songea yaani unachoka kinoma 🤣🤣🤣
😂😂DuhTafiti ya wanakijiji wa Mpitulu katika kata ya kyaliama .
Jinsi unavyoendekeza kunywa ulanzi ndivyo viungo vya mwili wako hasa miguu inakosa nguvu kwa Kasi .
Utazeeka mapema ikiwa utajitahidi kunywa walau glasi moja kila siku ya ulanzi .
Hii iko katika tafti za wanakijiji hasa tuliowateua kuwa maliasili hivyo subiri nitakuja na majibu yenye picha pia .Sasa ishu ni kwamba wanapoutega na Nyoka nao huwa walikuwa wanalamba yaani tulikuwa tunakunywa mate ya Nyoka pia
🤣🤣 Njaa na hasira vinakwenda sambambaNjaa husababisha kushuka kwa kiwango cha sukari mwilini. Ili kujilinda na kufanya utendaji uendelee kama kawaida, mwili huzalisha homoni mbili ambazo ni 'Adrenaline na Cortisol'.
Homoni hizo husaidia kuongeza kiwango cha sukari lakini pia huuweka mwili kwenye tahadhari ya kupambana na kitu chochote, na hapo ndipo hasira huwa ni rahisi kutokea!
#Tafiti
ChaiBabu yangu amekufa na miaka 102 na pacha wake Kulwa kafa na miaka 105. Nguvu ya mtindi
Inawezekana Kuna sindano za usingiziUnaweza kuununua Usingizi wewe ?
Hela sio kila kitu