Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Chief

Ubarikiwe sana,hii nimeipenda
Ila hakuna ndoa pasi na mahari
Mahari hata iwe chungwa,lkn ni Mahari

Shukran
 
MAREKANI yaikalia kooni Tz baada ya benki ya Dunia kuamishiwa Tanzania
 
Madawa ya kulevya kuanza kutumika Tanzania Kama unga wa ugali baada ya mahindi kuadimika. Na mwandishi wetu
 
Aliyekuwa rais wa awamu ya tano ameteuliwa kuwa Kiranja wa Malaika huko paradiso
 
Tanzania yatuma rocket ya tatu pluto

Wanaanga 12 wa tanzania wakanyaga ardhi ya sayari ya Jupiter.

Tanzania yamkopesha USA.

Tanzania ndio nchi peke inayoongoza
Kwa usafi duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…