Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Habari wakuu!

Huu ni uzi wa vichwa vikali vya habari kuanzia mwaka wa 100 kuanzia leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Usipite bure, weka kichwa cha habari unachoona kitatokea kwa miaka hiyo

Ili vizazi vije vione utabiri huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. TAIFA STARS YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA[emoji41][emoji41]

2.SIMBA SC YATWAA KOMBE LA KLABU BINGWA AFRICA KWA MARA YA TISA

3.TANZANIA YAUZA UMEME NCHI ZOTE ZA AFRICA MASHARIKI NA KATI

4.NI MARUFUKU KUINGIA KATIKATI YA JIJI LA DODOMA KAMA HUJAVAA SUTI[emoji41][emoji41]

5.YANGA SC YATWAA KOMBE LA SHIRIKISHO KWA MIKWAJU YA PENALTY DHIDI YA WYDAD ATHLETICS 5-4

6.WABUNGE WAKATAA KUPITISHA SHERIA YA KURUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA KWA MARA YA 6 MFULULIZO

7.ZANZIBAR KISIWA BORA ZAIDI DUNIANI

8.WANAWAKE WARIDHIA KUOLEWA BILA MAHALI [emoji7][emoji7]

9.SOKO LA MAGARI MAPYA TANZANIA LASHUKA, V8 SASA INAUZWA 260,000/=

10. MAREKANI YAPOKEA MSAADA WA $16 BN KUTOKA SERIKALI YA TANZANIA [emoji1320][emoji1320]

Tuendelee........[emoji116][emoji116][emoji116]
Chief

Ubarikiwe sana,hii nimeipenda
Ila hakuna ndoa pasi na mahari
Mahari hata iwe chungwa,lkn ni Mahari

Shukran
 
MAREKANI yaikalia kooni Tz baada ya benki ya Dunia kuamishiwa Tanzania
 
Madawa ya kulevya kuanza kutumika Tanzania Kama unga wa ugali baada ya mahindi kuadimika. Na mwandishi wetu
 
Aliyekuwa rais wa awamu ya tano ameteuliwa kuwa Kiranja wa Malaika huko paradiso
 
Tanzania yatuma rocket ya tatu pluto

Wanaanga 12 wa tanzania wakanyaga ardhi ya sayari ya Jupiter.

Tanzania yamkopesha USA.

Tanzania ndio nchi peke inayoongoza
Kwa usafi duniani.
 
Back
Top Bottom