Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

ni mwaka mmoja tangu jamaa yetu kaachia ngazi na mambo ndio kama hivi #gazeti fulani hivi la udaku kipindi hicho
 
1: Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani
2: Tanzania ni nchi ya pekee inayoongoza kuwa na viwanda vingi kila wilaya
3: wahitimu wa vyuo vikuu nchini Tanzania waanza kutimkia ughaibuni kusaka ajira
4: Idadi ya wanaopata ujauzito shuleni yazidi kuongezeka Tanzania kushika namba moja Afrika
5: Waandishi wa habari watakiwa kuhakikiwa uraia wao
6: Tanzania yaanza kununua mamba na viboko
 
TANZANIA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

SASA NI USO KWA USO NA UJERUMANI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hivi mnalaana au !??
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…