Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

UDOM SURPASSES HARVARD UNIVERSITY IN UNIVERSITY RANKING.IT IS NOW THE BEST UNIVERSITY IN THE WORLD[emoji41][emoji41][emoji41].

12-7-2107

Today in the new university ranking the university of Dodoma has been the best university in the world.The so-called "Chuo Cha kata" as it was called one hundred years ago back in 2007 during it's establishment, has succeeded to surpass Harvad university and become the best worldwide.

Grammar tuvumiliane tu.
Hahaha kweli tuvumiliane
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sanaa
 
😂😂🤣Mmewasahau mods.. Ngoja niwape yao..

Mods wa JF wala teuzi TISS
 
Yaani kwanza vichwa vya habari haviandikwi hivo,,kuna Do's and Donts za kuandika vichwa vya habari,,wengine mnaandika vichwa vya habari vinazidi maneno9,wengine mnaweka Articles akati hairuhusiwi,hamtumii simple present tense,wengine mnatumia passive voice kwenye heading?!,, Hii ni Taaluma mjue,,,but in sawa kwavile mnaandika2 kufurahisha"Nothing serious"
 
Katika fikra na mtazamo wa kawaida wote tunaoshiriki katika mjadala huu watutakuwa hai miaka 100 ijayo, ni bora kuandaa sasa sehemu tutakayokuwepo hiyo miaka 100 ijayo siku kama ya leo ( kwa wale waaminio kuwa ipo sehemu tutakuwepo), tuandao makao hayo kwa kuwa watu wema. Maana huko tutakuwepo kwa muda mrefu.
 
Forbes yatangaza Wachaga ndio kabila linaloongoza kuwa na matajiri wengi dunian

Tanzania yatajwa kua ndio chi ya kwanza dunian kwa wanaume kula chips mayai

Wanaume wa Tanzania ndio wanaoongoza duniani kwa kulelewa
 
1: Jamii Forums yawa listed kwenye masoko ya mitaji ya New York Stock Exchange, Nikkei, Nasdaq, Shanghai Stock Exchange na Euronext.

2: Tanzania yaiwekea vikwazo vya ki uchumi Mexico, ni baada ya taifa hilo la kaskazini mwa Amerika kuvamia na kukalia kimabavu majimbo ya Calfornia na Texas nchini Marekani.

3: Burundi yaipatia msaada wa chakula ma madawa nchi ya Ubelgiji, baada ya taifa hilo kukumbwa na mlipuko mkubwa wa kipindu pindu

4: Tanzania yatuma chombo chake cha uchunguzi kwenye sayari ya Mars

5: Sudan Kusini yashutumiwa kuwavizia na kuwaua wana sayansi wa mambo ya nyuklia wa nchi ya Kenya.

6: Tanzania yaingia mgogoro wa kidplomasia na Kenya, ni baada ya Tanzania kuweka mitambo ya ulinzi wa anga(SAMs) nchiniSomalia
 
Back
Top Bottom