hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16] Daahh!!!"Korea kaskazini yazuia matumizi ya JF nchini kwao,kwa madai kuwa mtandao huo unajihusisha na njama za kuipindua serikali"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16] Daahh!!!"Korea kaskazini yazuia matumizi ya JF nchini kwao,kwa madai kuwa mtandao huo unajihusisha na njama za kuipindua serikali"
Nimecheka sanaChama cha upinzani (CCM) chaishutumu serikali kugandamiza demokrasia[emoji41][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tanzania yarusha makombora ya masafa marefu Kenya na Uganda zaomba umoja wa mataifa kuingilia kati
Yaani wee acha tu [emoji16]Ukitaka kujua kuwa raia wa hii nchi wana stress basi fuatilia majibu ya huu uzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kmmk[emoji38][emoji38][emoji38]Tanzania yawa nchi ya kwanza kufanikiwa kupeleka mwanasayansi JUANI na kurudi duniani salama.
Hahaha kweli tuvumilianeUDOM SURPASSES HARVARD UNIVERSITY IN UNIVERSITY RANKING.IT IS NOW THE BEST UNIVERSITY IN THE WORLD[emoji41][emoji41][emoji41].
12-7-2107
Today in the new university ranking the university of Dodoma has been the best university in the world.The so-called "Chuo Cha kata" as it was called one hundred years ago back in 2007 during it's establishment, has succeeded to surpass Harvad university and become the best worldwide.
Grammar tuvumiliane tu.
AiseeWANAWAKE NCHINI TANZANIA WAANZA KULIPA MAHALI KWA WANAUME[emoji41][emoji41]
😁😁😁Kuna watu wame vurugwa humu 😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sanaa