Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,587
- 2,389
Kazi nzuri wapi wamekomba mboga wakaacha ugali. Watu wa dar bwana!Kazi nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri wapi wamekomba mboga wakaacha ugali. Watu wa dar bwana!Kazi nzuri sana
Mkuu hapa ndio mpaka kesho asubuhi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kashajibu
Ndio mana wa mikoani wanawaita wanaume wa darAcha masihara mkuu, usiku si utakuwa mrefu sana
Kawaida tu mkuuAcha masihara mkuu, usiku si utakuwa mrefu sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aaaah jamaa una wivu wewe. Hapo umebaki ugali gani sasa?Kazi nzuri wapi wamekomba mboga wakaacha ugali. Watu wa dar bwana!
Ila kweli ucku unapiga msosi lainiKawaida tu mkuu
Usiku sifanyi shuhuli yoyote.
No kwichkwich
Ya nin kujaza tumbo usiku huu
Asubuhi mlo heavy ,mchana heavy na usiku tena?Ndio mana wa mikoani wanawaita wanaume wa dar
Kitu chenyewe kabisa hicho mkuuMmh hii ya kugoogle mkuu
Kitambi na uzito usio sahihi. Sukari, shinikizo la damu vilibaki kawaida. Ila sasa cholesterol ilikuwa balaaaSawa mkuu
Yalikukuta yapi nijuze japo kwa ufupi tu
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]baada![]()
Dozi gani hiyo mkuu nipe na mm huo ujuzi
baada![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We hujuwi kula vizuri....mtu gani asiyevunja mifupa? Hapa ilibidi ule na kuvunja mifupa pamoja na kulamba sahani baada ya msosi, wewe vipi?
Chips na uji?![emoji486] bora siku ipite![]()