Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Kwelikweli kashenye hiyo kikukwe kigarama au kabambiloKanyigo moja iyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwelikweli kashenye hiyo kikukwe kigarama au kabambiloKanyigo moja iyo
[emoji347][emoji347][emoji347][emoji102] [emoji102] [emoji15] [emoji15] yes yes
[emoji39] [emoji39] [emoji39]![]()
Ugali na dagaa mchele
Mkuu hivyo huwa vipo tu mahotelini utavikuta juu ya Meza,Uma na kisu vinatumikaje hapo....?!
Kwann sio kijiko au ndio wa afrika kaliba yetu ya kupenda kuleta uzungu hata sehemu ambapo tunakuwa tumechanganya utaratibu?!
Me ningeomba kijiko hapo
Itakuwa alitumia kulia na kupunguza ukubwa wa hizo njegere. Nawaza tuUma na kisu vinatumikaje hapo....?!
Kwann sio kijiko au ndio wa afrika kaliba yetu ya kupenda kuleta uzungu hata sehemu ambapo tunakuwa tumechanganya utaratibu?!
Me ningeomba kijiko hapo
Sawa ila punguza wanga(starch) hasa usiku. Itakusumbua baadaye. Yalinikuta[emoji486]![]()
Mkuu unashiba hapo na kwenda kulala? Au stater tu hyo[emoji486]![]()
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akikujibu uniiteMkuu unashiba hapo na kwenda kulala? Au stater tu hyo
Mkuu hapa ndio mpaka kesho asubuhiMkuu unashiba hapo na kwenda kulala? Au stater tu hyo
Sawa mkuuSawa ila punguza wanga(starch) hasa usiku. Itakusumbua baadaye. Yalinikuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kashajibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akikujibu uniite
Acha masihara mkuu, usiku si utakuwa mrefu sanaMkuu hapa ndio mpaka kesho asubuhi
Mmh hii ya kugoogle mkuu