Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

20210911_095320.jpg
 
Zamani sana kuna unga fulani nlikua nanunua supermarket huku zenji. Upo spiced tayari. Yaani huo ulikuwa bomba sana. Wanakuwa very crispy.

Ila sasa siuoni tena hata madukani. Naishia kutumia bread crumbs ya kawaida tu hata siwapatii sana.
Kama hutojali nielekeze namna unavyo waandaa hasa kwenye coating
 
Back
Top Bottom