Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

20210912_215333.jpg
20210912_215427.jpg
 
Wabongo wengi tunajua kupamba meza ya msosi lakini shida IPO kwenye muda wa kula hicho kilicho pambwa mezani.
Utakuta mtu kaweka chakula ,matunda na maji yakunywa na ana vila vyote kwa wakati Mmoja.Tenganisha muda wa dakika wa 20 - 30 kwenye ulaji kati ya tunda, mlo na maji yakunywa
 
Wabongo wengi tunajua kupamba meza ya msosi lakini shida IPO kwenye muda wa kula hicho kilicho pambwa mezani.
Utakuta mtu kaweka chakula ,matunda na maji yakunywa na ana vila vyote kwa wakati Mmoja.Tenganisha muda wa dakika wa 20 - 30 kwenye ulaji kati ya tunda, mlo na maji yakunywa
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Wabongo wengi tunajua kupamba meza ya msosi lakini shida IPO kwenye muda wa kula hicho kilicho pambwa mezani.
Utakuta mtu kaweka chakula ,matunda na maji yakunywa na ana vila vyote kwa wakati Mmoja.Tenganisha muda wa dakika wa 20 - 30 kwenye ulaji kati ya tunda, mlo na maji yakunywa
Nilitaka kumuambia hili ndugu yangu Saint Anne , matunda ambayo angalau unaweza kula wakati wa kula ni parachichi na ndizi mbivu
 
Back
Top Bottom