Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto uliyekuwa unamlisha huu wali alishiba kweli??..
Ulicho haribu hapo ni kuweka Asali mkuu,Tena hasa Kama Ni diabetic.Wenyeji wa huu uzi hamjaamka au? View attachment 1912235View attachment 1912237
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Wabongo wengi tunajua kupamba meza ya msosi lakini shida IPO kwenye muda wa kula hicho kilicho pambwa mezani.
Utakuta mtu kaweka chakula ,matunda na maji yakunywa na ana vila vyote kwa wakati Mmoja.Tenganisha muda wa dakika wa 20 - 30 kwenye ulaji kati ya tunda, mlo na maji yakunywa
Mpaka akakataa mshkaki wa nyongeza 🙈🙈🙈Mtoto uliyekuwa unamlisha huu wali alishiba kweli??..
I'm kidding..
maana ni noodles, mara bull frog hind legs, mara dumplings. naamin unaamka na kulala huko. 🙂[emoji3][emoji3]kwanini mkuu
Zinaliwa hizo kama karangaView attachment 1936054
Naenda kupanda
Uwiiiiiiiii nimejilamba aisee
Nilitaka kumuambia hili ndugu yangu Saint Anne , matunda ambayo angalau unaweza kula wakati wa kula ni parachichi na ndizi mbivuWabongo wengi tunajua kupamba meza ya msosi lakini shida IPO kwenye muda wa kula hicho kilicho pambwa mezani.
Utakuta mtu kaweka chakula ,matunda na maji yakunywa na ana vila vyote kwa wakati Mmoja.Tenganisha muda wa dakika wa 20 - 30 kwenye ulaji kati ya tunda, mlo na maji yakunywa
Haaaa bila shaka inawezekana!Umeeleweka lakini mimi nataka nionje pishi lako one day! Vipi itawezekana?? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Ohh mimi hula mkate na asali mkuu, sio diabetic wala sina dalili.Ulicho haribu hapo ni kuweka Asali mkuu,Tena hasa Kama Ni diabetic.
SafiiiOhh mimi hula mkate na asali mkuu, sio diabetic wala sina dalili.