Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Dietary food. Healthy
View attachment 1933659
Very Healthy[emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dietary food. Healthy
View attachment 1933659
Unatakiwa unone! Ili hata kono liwe kono! [emoji39][emoji39][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana ila watu wa humu hamnitakii mema nyie [emoji19][emoji19] Mnataka ñinone kama ng'ombe wa sherehe bana??[emoji849][emoji849]
Umeeleweka lakini mimi nataka nionje pishi lako one day! Vipi itawezekana?? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Simply, mimi huandaa samaki wangu ambao ni fillet tupu na kuwakata vipande vyembamba vyembamba kama vidole. Then naweka spice yoyote nayopenda kwa wakati huo.
Then naandaa coat yake ambayo ntatumia breadcrumbs, na yai, kwenye yai nachukua only white egg part (naacha egg yolk). yolk ina tabia ya "kukakamaza" ganda la chakula husika. kwenye hili pishi mimi situmii unga wa ngano, huwa nataka coat iwe nyepesi.
Baada hapo nafanya zile process kama za kuchoma kachori au eggchop, yaani kuchukua kipande cha samaki kudumbukiza kwenye yai then kukiweka kwenye breadcrumbs, vipande vyote vya samaki vikishapitia hii process then napasha mafuta moto ready kwa kudeep fry.
Uwiii sijui nimeeleweka? kuelekeza upishi ni kipaji ati!
Umenitamanisha balaa! [emoji24][emoji24][emoji24]
Then hunitafuti, utakosa zawadi ujue!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Sitaki uchokozi.
Alafu nikishanona mkiniona uraiani muwe mnanipotezea eti? 🤔🤔🤔Unatakiwa unone! Ili hata kono liwe kono! [emoji39][emoji39]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Hutopotezewa, bali hata ukitupita bado tutatupia macho kwa nyuma! Kuangalia chura!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Alafu nikishanona mkiniona uraiani muwe mnanipotezea eti? [emoji848][emoji848][emoji848]
😁😁😁😁Hutopotezewa, bali hata ukitupita bado tutatupia macho kwa nyuma! Kuangalia chura!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Nami umenitamanisha.
Mtu mzima hadanganywi rafiki!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
SIDANGANYIKI!!![emoji14][emoji14]
Well planned,well excuted.
Surgical Precision, 🩺Well planned,well excuted.
[emoji2305][emoji2305][emoji2305][emoji24][emoji24][emoji24]
Salmon 😋😋😋