Uzi wa vyakula tu

Nikirudia kupika tena inaweza isitokee tena kama hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata vipimo sijui.




Btw nimekumiss aisee,,,nakutafutia zawadi ndio nije.
Wewe ukija ndio zawadi yenyewe my dear..na utapika mwenyewe maana mimi nikipika huli
 
Mbona sio nyingi
Au una familia kubwa ,ukiwa na familia kubwa changamoto kidogo
Hii ni juzii

View attachment 2040384
Sasa si unaona..hii si nusu kabisa hii jamani. Halafu anakuja Behaviourist na mabango yake ya vitamin kutuhubiria. Sie wengine tunakula kushiba tu jamani mambo ya vitamin tunawaachieni ninyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa si unaona..hii si nusu kabisa hii jamani. Halafu anakuja Behaviourist na mabango yake ya vitamin kutuhubiria. Sie wengine tunakula kushiba tu jamani mambo ya vitamin tunawaachieni ninyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo kuna vitamini kweli 😂😂😂
Mim mwenyewe nakula kushiba tu mi napenda kuku jamani na samaki
Ila siku hizi samaki zimakataa kwenye koo

 
Mimi aliyenifundisha kutumia samli ndio alimaliza kila kitu. Za kumimina mimi mwenyewe sijui halafu sio mpenzi ila hizi zako zimenivutiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…