Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

[emoji3]
Screenshot_20220109-213100.jpg
 
Huyu anaitwa nani?

Huwa natamani kwenda kunduchi kukusanya samaki stock ya home

Ila sijui aina ya samaki, kuna wengine wana shombo kali na tasteless

Na wale wauzaji hawawezi kusema ukweli[emoji2308]
Anaitwa Kikande, kwa jina maarufu Sharifu
 
Back
Top Bottom