Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 872
- 994
Hapo thawa...Ee ndio sema hapo nakula chakula kwanza then nikimaliza ndio nakunywa hiyo chai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo thawa...Ee ndio sema hapo nakula chakula kwanza then nikimaliza ndio nakunywa hiyo chai.
Dah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2075924
Hapo uliuziwa ugali maharage tu, km ulilipa hiyo mishkaka then umepigwa na chuma kizito sana
Ukitoka hapo ni kunyamba tu😁
Sawa nyama wamekula wenyewe jikoni.Made in cafeteriaView attachment 2075884
Kongoro, usituharibie jina la supu pendwa
Hiki ni chakula gani!!?