Breakfast
Mbona kidogo Auntie?[emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2242651
Hizi chips au viazi vimedumbukizwa kwenye mafutaπ€£π€£π€£π€£
Dah mie nachokaga nikiona portion zako...unawezaje jamani
Kaugali ka fasta fasta hapo nimetoka kuswampa Kariakoo Jumamosi nampigia dada nipikie ugali na nyanya chungu na kisamaki cha jana...ukimaliza unashusha na maji bardiiiiiii unafunga kanga unalala [emoji23][emoji23][emoji23]
Full burudani yaaniπ€£Kaugali ka fasta fasta hapo nimetoka kuswampa Kariakoo Jumamosi nampigia dada nipikie ugali na nyanya chungu na kisamaki cha jana...ukimaliza unashusha na maji bardiiiiiii unafunga kanga unalala [emoji23][emoji23][emoji23]
πππππππππHizi chips au viazi vimedumbukizwa kwenye mafutaπ€£π€£π€£π€£
Hapo nilichelewa kula cha mchana aunt[emoji23]Mbona kidogo Auntie?
Njoo nikuzoeshe uone ilivyo rahisi....πDah mie nachokaga nikiona portion zako...unawezaje jamani
Inabidi nije kwa kweli....naja huko pm naomba uache mlango waziNjoo nikuzoeshe uone ilivyo rahisi....π