Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Breakfast
1653688857203.png
 
Kaugali ka fasta fasta hapo nimetoka kuswampa Kariakoo Jumamosi nampigia dada nipikie ugali na nyanya chungu na kisamaki cha jana...ukimaliza unashusha na maji bardiiiiiii unafunga kanga unalala [emoji23][emoji23][emoji23]
Full burudani yaani🤣
Nilivyokula nikashushia na maji..tumbo ndiii.

Ilikuwa mchana hiyo.
 
Back
Top Bottom