Uzi wa vyakula tu

Naomba recipe yako unayotumia kupika 1/2 kg na ya 1kg
Najaribu recipes mbalimbali.
Margarine 1/2kg
Unga 1/2kg
Mayai 8-10 inategemea na ukubwa wa mayai
Sukari 1/2kg ila napunguza kama kijiko kimoja
Baking powder 2 vijiko vya chai
Maziwa kidogo (kama vijiko 1-3) ya supu kuifanya keki isiwe kavu
Vanilla kijiko 1 cha chai(kidogo).

Kwa kilo moja nafanya x2 yake, na wakati wa kuweka unga uwa siupigi sana kama mwanzo
 
Oh thank you[emoji7][emoji120]
Will try
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…