Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni sawa na wali ndondo tu! [emoji39][emoji39][emoji39]
Taka weyi hii
Humaaanishi, ushawai kukutana na maharage break fast,lunch, dinner? Mnabadili style za kupika tu ila ni maharage
One step ahead,everyday[emoji120]View attachment 2516564View attachment 2516565View attachment 2516571View attachment 2516572
MkaaUmepikia kwa oven au mkaa?
[emoji23][emoji23]Tufundishe na sie bana tujipikilishe [emoji23][emoji23]
Hongera sana imechambuka vyema sana ila ice naona nzito sanaMkaa
Sina Oven
Kupika kwanza[emoji23][emoji23]
Na Mimi nipo najifunza ,
Kupika nimeweza.
Kupamba ndio naendelea kupambana na mazoezi.
Nikufundishe kupika au kupamba?
Ukiweka butter nyepesi sana maua hayakai vizuriHongera sana imechambuka vyema sana ila ice naona nzito sana
Sawa soon unajua na umejifundisha peke yako tu ?Ukiweka butter nyepesi sana maua hataki vizuri
Inatakiwa iwe ya kawaida.
Haalfu hapo imeshakauka,Jana ilikuwa mbichimbichi View attachment 2517186
Tafuta mzaniKupika kwanza
Keki nusu halaf vipimo sina itabidi ninunue,nishanunua hand mixer
Nimejifunza online.Sawa soon unajua na umejifundisha peke yako tu ?
Sawa umejitahidi sanaaNimejifunza online.
Huwa napitia Malala mbalimbali kuhusu keki
Naangalia pia na video , then naanza na mm kujaribu.
Hii ni mara ya tatu kujaribu kupamba.
Kidogo[emoji120]Sawa umejitahidi sanaa