Uzi wa vyakula tu


Kazi ulikuwa nayo lakin bora unajua
 
Sawa nimekusoma ngoja nifundishe mtu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sasa alikuwa anafanya hizi tenda za chakula,alikuwa mkali mno ananidekeza kumbe ananilemaza
Doh[emoji3064]
Malezi mengine hayafai.

Kuna binti niliskia anahadithia wenzie chuo,
Anasema hajui kazi yotote,hata ugali hajui kusonga..
Nguo tu chuo alikuwa hafui,anawalipa watu anafuliwa.
Kwao amelelewa hayo malezi ya kutogusa kazi yoyote.
Na hapo ameshakuwa mkubwa,anasubiri kuolewa duh!.
You can imagine,familia anayokwenda kutengeneza hapo.


Mm nimeanza kujifunza zamani,
Dada zangu wakiwa wanapika na mm nipo pembeni,Kila kitu unatumwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ikifika kipindi cha shamba ,nilikuwa naachwa nyumbani..
Wakirudi wanakuta chakula.

Nilivyopata majeraha nikapumzika,
Hapo mama akawa hataki nifanye kazi yoyote...
Nikaanza kuforce,, namshukuru Mungu kwa kweli,nazidi kujifunza vitu vipya.
 

Safi sana ni vizuri mtoto ajue kazi zote,
Umenikumbusha kutumwa jamani ukiwa mdogo unatumwa kama mwehu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ leta hiki fanya kile
 

Nitapika siku moja nitarusha picha nitakutag
Hivi @farhina siku hizi yupo wapi
 
Safi sana ni vizuri mtoto ajue kazi zote,
Umenikumbusha kutumwa jamani ukiwa mdogo unatumwa kama mwehu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leta hiki fanya kile
Yaani unapelekwa kama gari bovu na kila mtu anakutuma kwa wakati wake.
Inafika muda nasema sasahivi kama mmenituma vitu nusunusu sirudi tena..nimechoka.
Hapo mama akikuachia kuchochea maharage,ole wako akute yameungua,au hayajaiva..msala huo [emoji1787]


Kipindi Nimepata ajali ya mkono nikageuka mla bata.
Kila kitu nafanyiwa..
Maza alikuwa mkali sana,yaani akirudi toka kazini akakuta sijahudumiwa aisee moto unawaka..

Ila alitufundishaga kazi tangu tukiwa wadogo,,tukikaa sasahivi kupiga stori tunamkumbusha huku tunacheka.
 

Hhhahha ,Yaan utatumwa mno mara maji,mara nin,Ila nilikuwa napenda kwenye sekta ya kuonja ewaaaa Yaan aunt yangu mi Ndio nilikuwa muonjaji iwe samaki,iwe kuku,chapat ,sambusa,nilikuwa nashibia jikon nilikuwa kakibonge sababu ya kula
 
Hhhahha ,Yaan utatumwa mno mara maji,mara nin,Ila nilikuwa napenda kwenye sekta ya kuonja ewaaaa Yaan aunt yangu mi Ndio nilikuwa muonjaji iwe samaki,iwe kuku,chapat ,sambusa,nilikuwa nashibia jikon nilikuwa kakibonge sababu ya kula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuonja hapo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…