MaziwaSamahani, inatengenezwaje?
KIjana amefanikiwa kwenye kila kitu lakini kakukosa ww tuMi ni mtawa 🧕🏾
Unakula breakfast kama ya ikulu?
Yes mkuu, supu ya kuku wa chotara, chapai (chapati nimenunua) na chai ya miloHome made?
Mkuu siku moja moja sio mbayaUnakula breakfast kama ya ikulu?
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji119]Nakushangaa sana kijana unaishi kwako na unatembelea premio safiii ila hutaki kuoa vitu vizuri hivii
[emoji23][emoji23]oyaaKIjana amefanikiwa kwenye kila kitu lakini kakukosa ww tu
Karibu Tena Kuna kachumbari pembeniKachoriii
[emoji23][emoji23]oyaa
Njema kiongoziChief heshima yako
Powa mmesharudi kutoka kikaoni dodoma?Njema kiongozi
Kuna vitu tu mtu huwezi kumaliza, hamu imeisha🤷♂️.2nd session … zile chips nilishindwa kumaliza 🙃
View attachment 2563857
[emoji16][emoji16]Powa mmesharudi kutoka kikaoni dodoma?
Duuuh jamaa wali mkavu na nyama kavu vinapitaje shingoni au kuna mchuzi umeuficha?