Wait a sec....π€
Na nikimaliza na kuongeza juu???? Nadhani nta-post πΈ yenu ya pamoja na
Depal alikua anakula dinner, kisha supper baadayeMarisia njoo uniambie Depal kala nini hapa mpaka kale kaugali kangu kasitoshe???π
Nyama zinajitosheleza ila huto tundizi ni sawa na hutu tuchips twangu tu π
View attachment 2600776
You've really come a long way!
It's not too late to start,You've really come a long way!
Ningeanza na wewe, kweli nami pia ningekuwa mbali!
Congratulations!
Ohhh I'll be prepared alright!!!!πͺπΎYes, we have a deal!
Ila nitamkumbusha Dr Lizzy hata Yanga hufanya mazoezi ya kutosha wakiwa na kila nia ya kupata ushindi dhidi ya Simba...
Sasa sijui tutampiga picha akiwa amekaa au amesimama...
Atapigwa picha kwa matukio yote. Tokea anakata vitunguu vinamliza mpaka anapopakua msosiYes, we have a deal!
Ila nitamkumbusha Dr Lizzy hata Yanga hufanya mazoezi ya kutosha wakiwa na kila nia ya kupata ushindi dhidi ya Simba...
Sasa sijui tutampiga picha akiwa amekaa au amesimama...
ππ utasubiri tumalize kuosha vyombo, tuoge tukae mkao wa πΈOhhh I'll be prepared alright!!!!πͺπΎ
πΈ yangu mtanipiga nikiwa napika, nyie ntawapiga mkiwa mnaosha vyombo after lunch....or will it be dinner π€
Kwani lazima mpendeze sana???πππ utasubiri tumalize kuosha vyombo, tuoge tukae mkao wa πΈ