Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

20230427_192530.jpg
 
Yes, we have a deal!

Ila nitamkumbusha Dr Lizzy hata Yanga hufanya mazoezi ya kutosha wakiwa na kila nia ya kupata ushindi dhidi ya Simba...

Sasa sijui tutampiga picha akiwa amekaa au amesimama...
Ohhh I'll be prepared alright!!!!💪🏾

📸 yangu mtanipiga nikiwa napika, nyie ntawapiga mkiwa mnaosha vyombo after lunch....or will it be dinner 🤔
 
Back
Top Bottom